Elon Musk anakaa tu na wanawake haoi wewe kapuku unapambana

pesa haikai sehemu moja na wanawake, musk yeye wanawake sio swala la kubambania
 
vitu vingine sio vya kuiga,jamaa anasababu zake huenda za msingi zaid ktk maisha yake sas sijui ww unasababu zipi!!au unaiga tu!!???/
 
Kwa upeo tuliofikia hebu acha kujenga hoja kwa mizania ya ,,Mungu anakataza
Mwerekeo huu waachie akili mgando!
Hebu fikiria kidogo hii..
*ukae kitako na mtu mzima mwenzio. mkubaliane kufanya ngono. mfurahie tendo, na asidhurike mtu, mpate afya ya mwili na akili na mpange kufanya tena ...... alafu uibuke na swaga za ni kosa/dhambi/hitilafu/changamoto!
 
Halafu baadaye mnarudi mitandaoni kuwatukana wanawake kuwa hawajitunzi na hawajiheshimu ndio maana wanakuwa single mothers, pesa zenyewe ziko wapi za kuhudumia watoto zaidi ya kumi ikiwa wawili tu wanawatoa majasho, au ndio unataka uzalishe halafu uwaambie hao wanawake msaidiane majukumu ya kuhudumia hao watoto kana kwamba wewe uliwasaidia kuwalea tangu wadogo
 
Mie navyoona waliooa wake zao wanashobokea watu wengine ntaendelea na utaratibu wangu wa kuchakata mbususu tu kwa kweli. Imagine mke wa mtu anakuomba hela ya lotion unamwambia si una mume anakwambia hayo hayakuhusu we na mie tutamalizana kikubwa.
Ni sawa na wewe mwanaume uombe tendo kwa mwanamke mwingine kisha akuulize "si una mke wewe" utamjibuje
 
Una hakika yuko kamili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…