[emoji102][emoji849]Unajua unachokisema au???Mkuu mafuta ndo utajiri wa dunia ni vile wa marekani hawa waingizi waarabu kwenye izi issue za matajirii...kigezo chao namba moja wanasema waarabu wamerithi uo utajiri hawajautafuta,..lait wangekua wanaingizwa kwenye izii record nadhani wangeshika namba 1 paka 100 wote waarabuu....
Waarabu ni nyooko saana kwenye utajirii mkuu...