Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Maneno yako yalikuwa Makali mnoo hakukuwa na namna zaidi ya kujibu mapigo kwa nguvu zoteeπ€£π€£π€£Mi nimechoma kidovo
Mbona tunahonga sana nauli humu na zinaliwa hatusemi, hela ipo ila hatuna shobo.Wanaume wa tz mnajisikiaje [emoji23][emoji23]
Mkuu weka chanzo cha taarifa sio story za mtaaniUnajua utajiri wa mfalme wa Qatar [emoji1203] changanya pesa zahao top ten wote hawamfikii ana quadrillion 20 ni Sawa na dollar trillion 1000
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Unaweza kujikuta unapigwa ban kumbe hukuwa na nia ovu maskini.......Mawazo ya kuomba Ni ya hovyo Sana. Yeye siyo bank kutombwa mikopo.
Upo nyuma hayo mambo wanafanya ma financial analyst.....Hujakosea bilionea wa kudownload mapesa mitandaoni,niweke kwny maombi.
Wala hujakosea tajiri wa kudownload mapesa,endeleeni kuyadownload mi naendelea kuchoma mkaa mdogomdogo.Unaweza kujikuta unapigwa ban kumbe hukuwa na nia ovu maskini.......
ni mponyoko wa maneno Upo nyuma hayo mambo wanafanya ma financial analyst.....
sasa ww muuza mikaa utaelewa kweli!?
mtu kama ww ni ya kusamehe bure tu..
manake unaonekana upo matak.oni mwa dunia utaelewa kitu kweli
ππππ hampendi matangazo sioMbona tunahonga sana nauli humu na zinaliwa hatusemi, hela ipo ila hatuna shobo.
Polen kaka zanguKinyonge sana Dada Dina πππ
Bill gates na jeff bezon wameshuka kutokana kuachana na wake zao na hao wake zao wamegawana nao mkwanja mirefu mimali kibao ndio sababu ya kushuka kwaoMzuka wanajamvi!
Elon Musk ni tajiri namba moja sasa hivi duniani baada ya kumpita Jeff Beezos wa Amazon na utajiri wake ni wa kutisha ambao ni zaidi ya utajiri wa Bill Gates (4) na Warren Buffet (9) ukiunganishwa pamoja. Bill Gates ni number 4 na Buffet ni number 9 kwa utajiri duniani.
Elon Musk ambae ni muanzilishi wa Tesla na SpaceX amejikuta anakuwa na utajiri wa kutisha baada za hisa za makampuni yake kupaa kwa 33% na kuuza kwa dollars za Marekani Billion 100.
View attachment 1977916
Cha kushangaza mwaka jana kama sasa hivi Elon Musk hakuwepo top ten ya billionaire na wakati huo Jeff Beezos aliongoza sana akiwa na 113 billion dollars.
Magari ya Tesla sasa hivi yanauzika kama Njugu hadi Uingereza, China na Ujerumani Tesla imeongoza kwa mauzo miezi mitatu mfululizo toka mwezi wa saba.
Soma zaidi kwa Kiingereza kwa kubofya hapo chini.
Elon Musk's wealth hits $230 billion and is now world's richest person
Elon Musk has now outstripped former richest person, Amazon founder Jeff Bezos, who didn't appear to have a care in the world on Sunday as he enjoyed a day out with Laura Sanchez.www.dailymail.co.uk
Kwa hali ya sasa mafuta yanaisha soko technology inashika kasi mfano kuna magari yanaanza kutoka mengi hayatumii mafuta itafika mahala hata mitambo itatumia mafuta kiasi tu na hii wajiangalie sana nchi zinazotegemea mafuta wazungu wakiamua kitu ujue kitapita na kitatapakaa utake usitakeMkuu hivi inawezekana je technolojia izidi hela mafuta. Bado hii kitu inanishangaza kwasababu mafuta siyo mchezo.
Aliyekudanganya nani forbes wanachimbua kwa kupeleleza na wanatoa wao sio watu wanapeleka huo ni unafiki wa kiwango soma data zao uoneHizo data za forbes ni za kupeleka.
Kuna watu Wana hela na mali kuliko hizo na awataki kupeleka taarifa zao Forbes sababu awataki umaarufu au kujulikana
Choka mbaya yule hata trump anamtupa mbali ni ujivuni tu unamuwasha nchi yake yenyewe bado umeme tu shida πππMbona sijaona jina la @kidukulilo hapo?
Mfalme ana pesa za taifa zima, rasilimali zote za nchi nk.. na ushasema ni mfalme means sio tena mtu binafsi aliyejitafutia peke yake kwa akili yake bali wanarithishana vizazi na vizazi.Unajua utajiri wa mfalme wa Qatar [emoji1203] changanya pesa zahao top ten wote hawamfikii ana quadrillion 20 ni Sawa na dollar trillion 1000
Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Who cares about mapenzi, kesho kutwa anachukua star mwingine anamzalisha yeye anachukua mtoto then anamtupa.Elon kakimbiwa na demu wake juzi juzi. kweli mapenzi siyo mpunga.
Sanasana kule mbeya wataitwa kina mwakaelon.Kuna watanzania watawazaa watoto na kuwaita ELON
Du!!!!!Mawazo ya kuomba Ni ya hovyo Sana. Yeye siyo bank kutombwa mikopo.
Sidhani km kweli madini yote unaweza kutengeneza maabara!!.Mkuu Dunia ina shift kutoka kwenye raw materiao na kwenda kwenye Informations zaidi, Kipindi cha nyuma miaka kama 10 na nyuma, makamouni ya nishati kama Bp, wakina Total, wakina Exon Mobile, and alike ndo walikuwa wana tisha Dunia kwa ukwasi, leo hii hata top 20 hawapo tena.
Sisi bado mfano tunaendelea kuamishwa tuna Mali asili nyingi, mambo ya Mali asili yanaanza kupitwa na wakati sana kwa sababu ndo mali za kwanza kabisa wakati Dunia Inaimbwa.
Leo hii mfano kuna Almasi inazalishwa Maabara iko sawa kwa asilimia 100 na ile inayo chimbwa, so miaka michache tu kuanzia sasa migodo ya almasi haitakuw na kazi tena.
Tulichelewa sana kuvuna Mali asili zetu na kuzitumia vilivyo kwa sasa anaelekea kuwa too late