The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Bilionea namba moja duniani Elon Musk yuko mbioni kuwateua vijana sita wadogo kiumri na legelege wenye sura za kitoto Baby Face kumsaidia kuifumua kuifungua na kuianzisha upya shirika la misaada la marekani America foreign Aid Agency.
Billionea huyu wa Tesla aliteuliwa kuwa mkuu wa Department of Government Efficiency (DOGE)baada ya miezi kadhaa kumfanyia kampeni rais Trump wakati wa uchaguzi.
Sasa, Musk ameamua kutaka kuwachagua hawa vijana wenye umri 19-25 watatu kati yao inaaminika bado wako college ambao eti wanataka kupewa vyao vya kuziba pengo kubwa la kihuandisi na kubana matumizi.
Akiwa na miaka 19 tu, Edward Coristine ndio mdogo kuliko wote ya hawa mabwenyenye ambaye role yake itakuwa taking on corporate America and longstanding government institutions.
At just 19, Edward Coristine is the youngest of the fresh-faced bunch taking on corporate America and longstanding
Wengine ni Akash Bobba, 21, Ethan Shaotran, 22, and Luke Farritor, 23, along with Coristine, have reportedly been granted A-suite level clearance for their work, meaning they can work out of the agency's top floor with access to all physical spaces.
Wataalam wengi wa kiuchumi Marekani wanatahadharisha na kumpinga Elon Musk na kudai miezi sita ijayo kama hali hi ya mihemko katika Serikali ya Trump itaendelea hivi uchumi wa Marekani utaanguka vibaya sana.
Hata mimi Simkubali kabisa Elon Musk.
Yetu macho na maskio.
Billionea huyu wa Tesla aliteuliwa kuwa mkuu wa Department of Government Efficiency (DOGE)baada ya miezi kadhaa kumfanyia kampeni rais Trump wakati wa uchaguzi.
Sasa, Musk ameamua kutaka kuwachagua hawa vijana wenye umri 19-25 watatu kati yao inaaminika bado wako college ambao eti wanataka kupewa vyao vya kuziba pengo kubwa la kihuandisi na kubana matumizi.
Akiwa na miaka 19 tu, Edward Coristine ndio mdogo kuliko wote ya hawa mabwenyenye ambaye role yake itakuwa taking on corporate America and longstanding government institutions.
At just 19, Edward Coristine is the youngest of the fresh-faced bunch taking on corporate America and longstanding
Wengine ni Akash Bobba, 21, Ethan Shaotran, 22, and Luke Farritor, 23, along with Coristine, have reportedly been granted A-suite level clearance for their work, meaning they can work out of the agency's top floor with access to all physical spaces.
Wataalam wengi wa kiuchumi Marekani wanatahadharisha na kumpinga Elon Musk na kudai miezi sita ijayo kama hali hi ya mihemko katika Serikali ya Trump itaendelea hivi uchumi wa Marekani utaanguka vibaya sana.
Hata mimi Simkubali kabisa Elon Musk.
Yetu macho na maskio.