Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elon ashaona effect huoni anataka kuushtaki kuwa wameiga features za twitter. Halafu twitter nadhani haifanyi vzuri kama alivyotarajia.Vipi wataalamu kibiashara ule mtandao wa meta utakuwa na athari kwa twira?
Twitter elon aliufanya kama basic need so akaanza kuuza hadi blue tick na sasa amelimit viewers. Mwenzake kaiona fursa.Elon ashaona effect huoni anataka kuushtaki kuwa wameiga features za twitter. Halafu twitter nadhani haifanyi vzuri kama alivyotarajia.
Jamaa mtata sana yuleTwitter elon aliufanya kama basic need so akaanza kuuza hadi blue tick na sasa amelimit viewers. Mwenzake kaiona fursa.
✊Mwenzake kaiona fursa
Hii ni theories zaid..
Ni kweli kwa kiasi flani lakini siyo all the way.Hii ni theories zaid..
Huruhusiwi kumiliki timu zaidi ya moja Kwenye nchi moja