Elon Musk apata kibali cha kampuni ya Neuralink kuanza kupandikiza Ubongo Bandia kwa Binadamu

Elon Musk apata kibali cha kampuni ya Neuralink kuanza kupandikiza Ubongo Bandia kwa Binadamu

Atengeneze na mbususu Safi ya electronic, tuwaache hao viumbe wengine wapenda pesa. 😁🙃🙌
 
waanze kwa KE wa kibongo wawe planted nazo, ziwe programmed ili waache mizinga
 
hujamaliza kutengeneza mke robot bado umeanza kupandikiza akili bandia yaaan ......hv kuna mtu yeyote humu anaeweza kunielezea jinsi ubongo unavofanya kaz ..mechanisim of thinkng reasoning ...deciding etc.....na hii biology nilosoma mpaka chuo kikuu toka chuo uchwara cha UDSM inasema mechanism of how brain functioning is unkown yet .....sasa kama mechanism n unknown how can they connect artificial brain to natural or how can they do that artificial implatation .....and if neural surgery nying zinafel tunashuhudia hata muhimbili watoto waliotenganishwa vichwa walifariki baada ya muda mfupi tuu na hata mambele daktar wa kwanza kufanya neural sugery ikafanikiwa n ben carson from america since then kumekuwepo na opareshen chache za kutenganisha vichwa ambazo zimekuwa zmefanikiwa sembuse hii
 
Back
Top Bottom