Elon Akihojiwa na redio , amesema chanzo cha kutengeneza sex robot ni kuokoa Mali, muda na uhai wa wanaume wengi duniani.
Akitolea mfano wa sheria za talaka ambapo wanaume wengi hujikuta wakipoteza Mali nyingi walizotafuta kwa jasho lao bila usaidizi wa wenza wao.
Amesema ataiuza sex robot duniani kote ili kuokoa maisha ya wanaume ambao wamekua wahanga kwenye suala la mapenzi.
Elon kaweka wazi kua kwa sasa hafikirii kuoa maana atakayemuoa atafuata Mali zake na sio mapenzi, hivo anaona muda mwingi autumie kwenye ubunifu mbalimbali ili kuisogeza dunia mbele na iwe mahali salama kwa kila mmoja.
Akitolea mfano wa sheria za talaka ambapo wanaume wengi hujikuta wakipoteza Mali nyingi walizotafuta kwa jasho lao bila usaidizi wa wenza wao.
Amesema ataiuza sex robot duniani kote ili kuokoa maisha ya wanaume ambao wamekua wahanga kwenye suala la mapenzi.
Elon kaweka wazi kua kwa sasa hafikirii kuoa maana atakayemuoa atafuata Mali zake na sio mapenzi, hivo anaona muda mwingi autumie kwenye ubunifu mbalimbali ili kuisogeza dunia mbele na iwe mahali salama kwa kila mmoja.