Elon Musk , asema anawaheshimu wanawake japo ni watu ambao hawezi kuwaamini milele

Elon Musk , asema anawaheshimu wanawake japo ni watu ambao hawezi kuwaamini milele

Usidharau wanao oa, kuoa has nothing to do with mali, unaweza kuwa nazo na usioe, mwingine anaoa hana mali kihivyo

Heshimu maamuzi ya wengine, usiwaite mbuzi kisa ww hujapata mtu sahihi au unadharau maamuzi yao
Kila mtu ana different experience dunia hii
Anataka mtu sahihi yeye mwenyewe ni sahihi kwa mtu.. La sivyo lazima upate tu wakufanana nae
 
Africa upumbavu utawaisha lin mpaka Leo mnaamin kila kitu mzungu atakachosema n sahihi
 
Back
Top Bottom