granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 3,249
- 7,948
Elon anawadanganya, yeye ana watoto, hayo marobot anayotaka kuwaletea yatazaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akifa musk,mkataba unasemajeElon alikua mjanja, kipindi anaoa, alimsainisha demu mkataba fulani unaitwa PRENUP.
Huu mkataba huwa unaweka mambo ya mali pembeni ikitokea mtaachana.
Hicho ndicho kilimuokoa mwanauwe mwenzetu,, lasihivyo saiz tungekua na mwanamke bilionea wa kurithi.
Wallah wabillah taufiqAstakfillah astakfillah khaaa
Atengeneze yenye mahaba ya makabila yaAmesema ataiuza sex robot duniani kote ili kuokoa maisha ya wanaume ambao wamekua wahanga kwenye suala la mapenzi.
HahahaahahahahaPutin alishamwagana na kile kibibi, kikaenda kuolewa ufaransa huko.
Halafu mbuzi mmoja, kisa kanunua ki vitz anataka kuoa.
Mimi pia nilitaka nipate hiyo interview ilikuwa ni wapi na lini, maana Elon Musk ana watoto 12 kutoka kwa wanawake tofauti watatu, baba yake ndio yalimzidi hadi akazaa na mtoto wake wa kuasili...hao ni wazee wa kuichakata 🐱 haswaSource au source yako ni "Trust me bro?"
Mahojiano yake na Joe roganSource au source yako ni "Trust me bro?"
Ndio hata watoto wake 12 alisema hatokuja kupima DNA maana anaweza kukuta maajabu , hayo alikua akihojiwa na Joe roganMimi pia nilitaka nipate hiyo interview ilikuwa ni wapi na lini, maana Elon Musk ana watoto 12 kutoka kwa wanawake tofauti watatu, baba yake ndio yalimzidi hadi akazaa na mtoto wake wa kuasili...hao ni wazee wa kuichakata 🐱 haswa
justin trudeau,Elon Musk,Jeff Bezos,Eliko Dangote & Bil get wote hawana wakePutin nae hana mke?
Ni vema ukawaamini maana hao pia ndio watakaoikuza zaidi brand Yako tarajiwa ya TikTok endapo utafanikiwa ku bargain na wachinaElon Akihojiwa na redio , amesema chanzo cha kutengeneza sex robot ni kuokoa Mali, muda na uhai wa wanaume wengi duniani.
Akitolea mfano wa sheria za talaka ambapo wanaume wengi hujikuta wakipoteza Mali nyingi walizotafuta kwa jasho lao bila usaidizi wa wenza wao.
Amesema ataiuza sex robot duniani kote ili kuokoa maisha ya wanaume ambao wamekua wahanga kwenye suala la mapenzi.
Elon kaweka wazi kua kwa sasa hafikirii kuoa maana atakayemuoa atafuata Mali zake na sio mapenzi, hivo anaona muda mwingi autumie kwenye ubunifu mbalimbali ili kuisogeza dunia mbele na iwe mahali salama kwa kila mmoja.
Hatari sanaSiku hizi ukiwa na mali hofu kubwa siyo kuvamiwa na majambazi, wala majanga ya moto na mafuriko, bali kusogelewa na mwanamke.
Kasema waheshimu lakini ufahamu hawaaminiki muda wowote hubadilikaSisi ambao tunaoa wanawake wa vijijini haituhusu......
Hatari sanaMpata matajiri wa dunia wanalia, sembuse sisi huku wa makambako.