Elon Musk ataka Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) na Sauti ya Amerika (VOA) zifungwe akidai hazina umuhimu tena

Hizi radio kwakweli hazina umuhimu sababu zinakupa habari za upande mmoja huku wakificha za upande wa pili...zifungwe tu
Habari gani ulitaka kuzisikia BBC, DW na VoA ukazikosa??
 
Wakiifuta VOA nani atawasambazia propaganda zao huku nchi zinazoendelea?...... Wafute Ili China (CNR) iwapige bao.
 
Trump ametumia $milioni 10 za serikali kuhudhuria super bowl jana.
Ila zina julikana zimefanyiwa nini na ni hiyo superbowl final ilikuwa ni tukio kubwa Sana la kitaifa.

Tofauti na enzi za Biden ambapo vikundi mbali mbali vya left-wing activists vilikuwa vinafadhiliwa na serikali kupiga porojo tu na kutetea haki za ajabu ajabu kama za transgenders
 
Hao jamaa usikute wanakusanya hela ili watimkie Mars. Kuna kitu wamenusa kinaenda kutokea duniani, nini?
Comment yako ina make sense kwa mtu ambaye amekuwa akimfuatilia Elon Musk.

Kama nakuelewa hivi... maana Muski mwenyewe amewahi kusema inahitajika zaidi ya $7trillion ili mission nzima ikamilike, so usikute zile $6trillion aliyomuahidi Trump atazipunguza kutoka kwenye federal spending atazi divert kuelekea huko kwenye SpaceX Mars Program...πŸ˜‡
 
Hili bandiko lako sasa linapaswa kuchapwa kwenye magazeti kama Mwanainchi na Uhuru tena kwenye page za mwanzo kabisa na kila muhusika alisome na kulifanyia kazi.
 
Bajeti ya USAID ni 0.7% tu ya bajeti yote.
 
Bajeti ya USAID ni 0.7% tu ya bajeti yote.
Kwenye hizo 0.7% ni 0.16% ya pesa zote zilikuwa zinawafikia walengwa, zilizobaki zote zilikuwa zinaishia kwenye mifuko ya wahuni kwanzia akina Samatha Power(chief administrator wa USAIDS) mpaka akina Seleman Jafo (enzi yuko TAMISEMI)
 
Kwenye hizo 0.7% ni 0.16% ya pesa zote zilikuwa zinawafikia walengwa, zilizobaki zote zilikuwa zinaishia kwenye mifuko ya wahuni kwanzia akina Samatha Power(chief administrator wa USAIDS) mpaka akina Seleman Jafo (enzi yuko TAMISEMI)
Elon na Trump ni wahuni tu.
 
Kwenye hizo 0.7% ni 0.16% ya pesa zote zilikuwa zinawafikia walengwa, zilizobaki zote zilikuwa zinaishia kwenye mifuko ya wahuni kwanzia akina Samatha Power(chief administrator wa USAIDS) mpaka akina Seleman Jafo (enzi yuko TAMISEMI)
Ingekuwa shida ni wafanyakazi wangewafukuza hao kina Samantha Power.
Wakikuta ufisadi Pentagon au CIA watazivunja hizo taasisi??
 
Wewe ungeongea ya TBC ndio tungekuelewa lakini ya VOA huwezi kujua kuwashinda akina Musk, huo ni unafiki wa kiwango cha lami.
 
Ingekuwa shida ni wafanyakazi wangewafukuza hao kina Samantha Power.
Wakikuta ufisadi Pentagon au CIA watazivunja hizo taasisi??
Hawawezi kuzivunja ila watazifanyia reshuffling moja ya hatari kama kuna ulazima, na pia kaa ukifahamu hizo ni taasisi muhimu sana kwq usalama wa utaifa, na ndio maana hata budget yao ni kubwa sana... na huwezi hata kidogo ukazilinganisha taasisi hizo na USAIDS shirika la kihalifu la kueneza propaganda na instability kwenye mataifa maskini yasioendana na matakwa ya marekani(japo najua unaweza usilijue hili)

DOGE ipo kwa ajili ya kupunguza matumizi yasiokuwa na ulazima ya serikali, USAIDS imekuja kuthibitikq kwamba haina ulazima wa kuendelea kuwepo.
 
Kama kuna uhalifu wowote waliofanya USAID wa kueneza propoganda na instability popote walitumika kama mkondo tu wa CIA kwa hiyo chombo sahihi cha kukivunja ni CIA kwa sababu ndio kitakuwa chanzo/mizizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…