Elon Musk ataka Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) na Sauti ya Amerika (VOA) zifungwe akidai hazina umuhimu tena

Elon Musk ataka Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) na Sauti ya Amerika (VOA) zifungwe akidai hazina umuhimu tena

Eric Shigongo (MP) CCM naye atoa neno kuhusu uamuzi wa serikali ya Marekani, na aelezea mstuko mkubwa wa serikali ya CCM ...



View: https://m.youtube.com/watch?v=8AO33Klvr3E

Eric Shigongo pia anauambia dunia kuwa Tanzania ni nchi ya pili barani Afrika kwa kupokea watalii kutoka nje, umeme ni wa kumwaga kutokana na bwawa la Umeme la JNHPP kukamilika, yaani mambo ni mengi mazuri chini ya awama ya rais Dr. Said Suluhu Hassan
 
.

Ni kama Marekani imetoa nafasi kwa mataifa mengine makubwa kutengeneza ushawishi
Hili ndilo jibu, kushuka kwa ushawishi WA Marekani Duniani.
Ile falsafa yake ya: "Making America Great Again-MAGA" naona itakwenda kinyumenyume; itakuwa: "Making America Weak Again-MAWA"
 
Mkuu VOA huwezi kuifuta kwa sababu una miliki X. Kwa national redio network hapo Marekani hakuna wa kiwafikia VOA na wapo mzigoni miaka zaidi ya 80 na wanatangaza kwa lugha zaidi ya 58 duniani kote. DOGE ni mpango wa kuilimiti Marekani na kuifanya kuwa week country.
Thanks mkuu, umesema kama nilivyofanya analysis yangu kichwani. MAGA inaendakufanya America isiwe tena superpower, behind the scen misaada ya Amerika ilikuwa ni kuifanya iwe na sauti kwa wanufaika, matharani NATO washirika wote ilikuwa lazima wakubaliane na mawazo ya Marekani, UN agencies zote zilikuwa zikibeba agenda za Marekani, nchi za Africa zilikuwa hazikohoi kwa USAID, kile America anataka walikuwa wanatiii, na huo ndo usuperpower.

Anaondoa nyenzo zilizokuwa zinaipa Marekani sauti. Effects za Trump siyo za utawala wake zitaendelea kuwepo baada ya miaka yake. EU anamuona Amerika ni adui baada ya kuitaka Greenland.

Kwa mara ya kwanza namuona Waziri wa Denmark ktk bunge la ulaya anahutubia kwa kutukana matusi ya nguoni🤣🤣🤣
 
Elon Musk ametaka kufungwa kwa Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) na Voice of America (VOA), vyombo viwili vya habari vinavyofadhiliwa na serikali ya Marekani, akidai kuwa havina umuhimu tena.

Musk alitoa kauli hizi akijibu chapisho la Richard Grenell, Mjumbe Maalum wa Marekani, ambaye alikosoa vyombo hivyo kama vyombo vya habari vinavyofadhiliwa na walipa kodi, vikiwa vimejaa "wanaharakati wa siasa kali za kushoto."

"Ni vyombo vya habari vilivyomilikiwa na serikali," Grenell aliandika. "Vyombo hivi ni urithi wa zamani. Hatuwahitaji vyombo vya habari vinavyolipwa na serikali."

Musk alikubaliana, akituma ujumbe wa kusema: "Ndio, vifungiwe." Aliendelea kudai kuwa vyombo hivyo "ni watu wa siasa kali za kushoto wanavyozungumza na wenyewe huku wakiteketeza dola bilioni moja kwa mwaka za fedha za walipa kodi wa Marekani."
===================
Elon Musk has called for the shutdown of Radio Free Europe/Radio Liberty (RFE/RL) and Voice of America (VOA), two media organizations funded by the U.S. government, claiming they are no longer relevant.

Musk made the remarks in response to a post on X by Richard Grenell, the U.S. Special Envoy for Special Missions, who criticized the outlets as taxpayer-funded media filled with “far-left activists.”

“It’s state-owned media,” Grenell wrote. “These outlets are a relic of the past. We don’t need government-paid media outlets.”

Musk agreed, posting: “Yes, shut them down.” He went on to claim that the organizations “are just radical left crazy people talking to themselves while torching $1 billion a year of U.S. taxpayer money.”
Mask hajui hata Hivyo vitu ni mhimu kwa ajili ya kueneza propaganda za wazayuni dunia na usa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom