Elon Musk hatutakii mema sisi watu wa kawaida

Elon Musk hatutakii mema sisi watu wa kawaida

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Kujua dunia inakwendaje ni Jambo la Muhimu maana kuna maamuzi juu ambayo yakitolewa ni lazima yaguse maisha ya kila moja wetu.

Maisha yanakua mabaya au mazuri zaidi hilo usiniulize utajaza mwenyewe.

Nay wa Mitengo kakosoa wajinga na kawatukana sana muamke acheni kulala. Kuwa na maisha mazuri inahitaji akili sana, hasa akili ya kumjua mchawi nani, fish anakula fish life in a sea.

Twende kwenye mada.
Nasikia hiyo mi Robot ya Elon Musk itaenda kufuta kazi watu wengi sana, Kazi nyingi ambazo watu wanafanya zitaanza kufanywa na Robots.

Serikali itatakiwa imlipe Elon Musk na kampuni yake ili wapewe wafanyakazi smart, clever and fast than human.

Kwahiyo itakua hivi, kuliko serikali iajiri watu elfu 10, inaweza hitaji robot moja tu kufanya kazi zote.

Mpambe wa Elon musk anasema robot hupewa maelekezo (logic) nini cha kufanya, na atafanya kwa ustadi zaidi ya binadamu.

Mfano uliotolewa ni kwamba, Roboti litakuwa na uwezo mkubwa wa kujua mtu mbaya anakuwa na tabia ipi, kwahiyo litatumika kukamata watu wabaya.

Roboti litakuwa na uelewa wa kujua ya kwamba huyu mtu ni mwizi na anajaribu kuchukua mali ya watu.

Nikawaza: Upo zako nyumbani na mkeo inatokea ugomvi, ile unataka kumpiga mke wako, unashangaa Roboti anakutuliza kidogo anakwambia broo unapoelekea unataka kumtwanga huyu mwanamke, kwani si kweli mchepuko unao, kwani anakusingizia? 😂😂

Maisha yanaenda kasi sana.
 
Hata kabla ya tu ya roboti, tayari akili bandia (artificial intelligence) imeafanya idadi kubwa ya watu kupoteza ajira maeneo mbalimbali duniani. Tena nasikia wanajaribu kutengeneza magari ambayo yataendeshwa na maroboti wakiamini hayatosababisha ajali.

FB_IMG_1689313615851.jpg
 
Hata kabla ya tu ya roboti, tayari akili bandia (artificial intelligence) imeafanya idadi kubwa ya watu kupoteza ajira maeneo mbalimbali duniani.
Mimi nafikiria mfano, kazi ya Ualimu.

Ukiambiwa uchague ufundishwe na mwalimu binadamu na Mwalimu robot aka google. Utachagua wapi.

Online course zinashika kasi sana now.
 
Kikwetu kwetu bado sana wala usiwe na wasiwasi.

Mwaka jana wanakijiji wa kijiji ambacho mbunge wake ni babu tale walikua wanaomba wafikishiwe huduma ya mtandao. Imagine dunia hii kuna kijiji hata network ya kupiga simu ni changamoto hadi wapande juu ya miti.

Kuna vijiji nilienda huko kahama nako hamna network kabisa, gari ya kufika mjini ni kihiace kidgo sana kimoja nacho kinaenda mara moja kwa wiki.

HIzo robots tu huko viwandani bado, viwanda vinatumia binadam kufanya kazi za robots.
 
Kuna uongo mwingi sana tunadanganyana kuhusu AI

Dunia ilianza na mabadiliko makubwa ya mashine viwandani na magari kisha ndege

Zikaja kompyuta na smartphone na technology nyingine

Na sasa tumeingia kwenye AI

Binadamu hana mbadala
 
Amna cha robot hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787], mtu ni mtu na atabaki kuwa mtu[emoji12], kwani ataweza kutengeneza hata robots million 10? Kwa mwaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Na hapo bado ni nchi moja wanaonunua nchi nyingine nazo zikisubiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787], sasa mpaka ipite miaka 50, hawajalipua ma nuclear yao Korea na irudi[emoji1787][emoji1787][emoji1787], nakufa na kufa msala unabaki kwa watakapoona[emoji39],

Mbali na hilo , the world of hackers, world of Linux [emoji12] watafanya kazi yao, ni kuhack hizo marobots wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], badala wapatie mgonjwa dawa za malaria[emoji1787] wampe panadol[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], hata hivo mashamba yapo watatulimia[emoji1787][emoji12][emoji39][emoji23] watapiga palizi mpaka wakonde, wakati huo me nipo [emoji3167]‍[emoji335]
 
Perhaps we’ve been exaggerating this AI tech wrongly.
Maybe hatujui what AI is really capable of…

People have different perspectives on this and that led for them to be overwhelmed with fears of loosing jobs, yes they are right lakini it’s in different shape which is obvious to most of us.

What’s is really happening and will happen is industry shift.

Jobs will keep being flooded but in different fashion.

We’ve had ;
Pre-industrial age
Industrial age
Digital age
And now;
IT age (AI, automation, etc)

People in preindustrial age, water driven wheel and wooden wheel crafters feared that steam engine( steam powered engine) will steal their jobs in wooden wheel vehicles and ships but it came, what changed? Not even a fraction of those people even want to go back there.

Petrol and diesel wiped off steam engines in all machinery, vehicles and industries, did jobs go away?

Transistors in 1947 wiped off vacuum tubes and punch cards resulting to smaller computers, flash, memory cards, etc is there any shortage of jobs?

When computer came they said type writers jobs is in danger but no it just shifted from paper writing to computer typing, saving time.

Automation came in 90’s so has it wiped out industrial cleaners, janitors, farmers, breeders etc?

And now it’s AI age.

AI won’t take anybody’s job what it will do it’ll be just like how previous ages went. Shift of how jobs are performed.

AI is just a supportive tool like a spanner and not a car by itself so do not confuse yourself.

You’re being baited on an overhyped tech.

Things like canvas, illustrator, AutoCAD, ArchiCAD, SolidWorks, MATLAB, Excel, Adobe photoshop, etc were glorified to replace engineers and architects but how it went? No engineer replaced rather they just improved time and accuracy on works.

Msiogope it’s industry shift, thing is you need to adapt to which is inevitable. There will be new jobs and skill update requirements.

————————

What’s happening is not even an AI, it’s a machine learning.
Machines learning the environments based on inputs or sensors and hence performing the intended output accordingly, does robots have reflect actions, a subconscious part of our brain which you can happen to drive a car and make corners without even thinking that you’re driving or in deep depression? Now that’s intelligent and not ML/programming.

Automation/AI will mostly replace recurring jobs and not anything else.

Are you goin in the aeroplane without a pilot? Who will hold a fire extinguisher once the plane lit up? Is the fire extinguisher will be a robot too? What if processor go wrong? Will there be a robot technician in that plane?

Do you really sanely think this will happen under this automated scripts (they call ML) or we should wait an actual AI?

FYI:
Being incredibly fast in computation (GHz), holding large chunks of data (RAM) is not intelligent. Babysitter can refuse to shower a toddler and we don’t know what’s in her mind, can a programmed computer refuse to perform a task under our will?

There’s no really intelligent in the hardware.
 
[emoji12]Nimemuuliza ndugu yao ChatGpt hili swali,

Mimi: Sasa mdogo wangu nina swali kuwahusu ndugu zako Robots, wanaweza kuchunga ng'ombe?

ChatGPT: Ndio, robots wanaweza kuchunga ng'ombe. Kuna aina mbalimbali za robots zinazotumiwa katika kilimo na ufugaji, ikiwa ni pamoja na robots za kuchunga ng'ombe. Hizi robots zinaweza kusaidia katika kazi za kulinda na kuongoza ng'ombe, kutoa chakula na maji, kufuatilia afya yao, na hata kusaidia katika upandaji na ukusanyaji wa mazao. Teknolojia ya robots katika kilimo inaendelea kukua na kuleta mabadiliko katika sekta ya ufugaji na kilimo.

****************

Ko waletwe tuuu waje wachunge mbuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ikiwezekana wafue na nguo kabs
 
[emoji12]Nimemuuliza ndugu yao ChatGpt hili swali,

Mimi: Sasa mdogo wangu nina swali kuwahusu ndugu zako Robots, wanaweza kuchunga ng'ombe?

ChatGPT: Ndio, robots wanaweza kuchunga ng'ombe. Kuna aina mbalimbali za robots zinazotumiwa katika kilimo na ufugaji, ikiwa ni pamoja na robots za kuchunga ng'ombe. Hizi robots zinaweza kusaidia katika kazi za kulinda na kuongoza ng'ombe, kutoa chakula na maji, kufuatilia afya yao, na hata kusaidia katika upandaji na ukusanyaji wa mazao. Teknolojia ya robots katika kilimo inaendelea kukua na kuleta mabadiliko katika sekta ya ufugaji na kilimo.

****************

Ko waletwe tuuu waje wachunge mbuzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ikiwezekana wafue na nguo kabs
Yani lengo kubwa ni kumpunguzia binadamu majukumu,
na kumsaidia aweze kufanya kazi masaa 4 kwa siku na masaa mengine ni kula bata.
 
Kuna uongo mwingi sana tunadanganyana kuhusu AI

Dunia ilianza na mabadiliko makubwa ya mashine viwandani na magari kisha ndege

Zikaja kompyuta na smartphone na technology nyingine

Na sasa tumeingia kwenye AI

Binadamu hana mbadala
Dunia inabadilika kwa kasi sana hujui tu,
wauza maduka makubwa watakua robots na watatoa huduma nyingi sana kwa binadamu.
 
Back
Top Bottom