Nasikia wale wana k tatu.........ushindwe mwenyewe.........na tena watapendwa sana na watu wa mnyaaazi ........na ndogo pia yanatoa bila masharti yeyote na hayapati yutiyaiIle project ya roboti la kike imefikia wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia wale wana k tatu.........ushindwe mwenyewe.........na tena watapendwa sana na watu wa mnyaaazi ........na ndogo pia yanatoa bila masharti yeyote na hayapati yutiyaiIle project ya roboti la kike imefikia wapi?
Hakuna watu kaka wanaoteseka kama matajiri. Ukitaka kujua Hilo mikiki kampuni hata 3 ndo utajua. Wengi tunadhan matajiri wanainjoi sabb Wana Kila kitu!mbali na sex, anafanya kazi bila kuchoka
Kwa sisi na wengine pia bado sana maana mdoli mmoja unauzwa $9000 huko uliko.. Mpaka kuutia mkononi si chini ya milion 30 za kikwetuKujua dunia inakwendaje ni Jambo la Muhimu maana kuna maamuzi juu ambayo yakitolewa ni lazima yaguse maisha ya kila moja wetu.
Maisha yanakua mabaya au mazuri zaidi hilo usiniulize utajaza mwenyewe.
Nay wa Mitengo kakosoa wajinga na kawatukana sana muamke acheni kulala. Kuwa na maisha mazuri inahitaji akili sana, hasa akili ya kumjua mchawi nani, fish anakula fish life in a sea.
Twende kwenye mada.
Nasikia hiyo mi Robot ya Elon Musk itaenda kufuta kazi watu wengi sana, Kazi nyingi ambazo watu wanafanya zitaanza kufanywa na Robots.
Serikali itatakiwa imlipe Elon Musk na kampuni yake ili wapewe wafanyakazi smart, clever and fast than human.
Kwahiyo itakua hivi, kuliko serikali iajiri watu elfu 10, inaweza hitaji robot moja tu kufanya kazi zote.
Mpambe wa Elon musk anasema robot hupewa maelekezo (logic) nini cha kufanya, na atafanya kwa ustadi zaidi ya binadamu.
Mfano uliotolewa ni kwamba, Roboti litakuwa na uwezo mkubwa wa kujua mtu mbaya anakuwa na tabia ipi, kwahiyo litatumika kukamata watu wabaya.
Roboti litakuwa na uelewa wa kujua ya kwamba huyu mtu ni mwizi na anajaribu kuchukua mali ya watu.
Nikawaza: Upo zako nyumbani na mkeo inatokea ugomvi, ile unataka kumpiga mke wako, unashangaa Roboti anakutuliza kidogo anakwambia broo unapoelekea unataka kumtwanga huku mwanamke, kwani si kweli mchepoko unao, kwani anakusingizia? [emoji23][emoji23]
Maisha yanaenda kazi sana.
mbali na midoli, mimi nawaza kwenye kasi ya Internet.Kwa sisi na wengine pia bado sana maana mdoli mmoja unauzwa $9000 huko uliko.. Mpaka kuutia mkononi si chini ya milion 30 za kikwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita Kati ya HUMAN na MACHINE is coming, Hizo AI MACHINE zinajifunza
Pesa ishaanza kuhamia digital muda mrefu tu mkuu, na inasaidia kupunguza root of infection.mbali na midoli, mimi nawaza kwenye kasi ya Internet.
watakapoongeza output bandwidth ya Internet.
Nafikiri chapa ya mpinga kristo itakuwa ni namba ya NIDA tu 😂😂😂
hata kununua nyanya lazima uweke finger print hapo ndio upewe nyanya.
Pesa itakua ni namba tu, hakuna kuzibeba physically
Vita Kati ya HUMAN na MACHINE is coming, Hizo AI MACHINE zinajifunza
Yeah! Yeah! Bila kusahau kuku pia🍗🐔 🤣🤣Yani lengo kubwa ni kumpunguzia binadamu majukumu,
na kumsaidia aweze kufanya kazi masaa 4 kwa siku na masaa mengine ni kula bata.
Usijali mkuu, Hiyo ni kazi ya hackers 🤣 hackers,Not today not tommorow bado sana
Usijali mkuu, Hiyo ni kazi ya hackers [emoji1787] hackers,
I mean, watahack robots wote na kuwa destroy wanakuwa kama toys💯%Hackers ? How? Kwamba wao ndio wana develop machines?
I mean watahack robots wote na kuwa fanya kama toys 💯%Hackers ? How? Kwamba wao ndio wana develop machines?
I mean watahack robots wote na kuwa fanya kama toys [emoji817]%