Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Unaweza kuchukulia simple lakini jamaa tuwaangalie kwa jicho lingine , asee wale watu sio poaDepending on hackers kustopisha world change? Goodluck with that hahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kuchukulia simple lakini jamaa tuwaangalie kwa jicho lingine , asee wale watu sio poaDepending on hackers kustopisha world change? Goodluck with that hahah
Natia uzitoHizo ndio athari za kukua kwa teknolojia na hatuwezi kuzuia.
Unaweza kuchukulia simple lakini jamaa tuwaangalie kwa jicho lingine , asee wale watu sio poa
Sure, let's see what will happen 😰😪Just like magonjwa yanavyo exist kwa binadamu, lakini haimzuii binadamu kua na kuzaliana.
The point hapa hackers wapo na watazaliwa wengine, ila technology itaendelea kukuwa day after day
New world ordermbali na midoli, mimi nawaza kwenye kasi ya Internet.
watakapoongeza output bandwidth ya Internet.
Nafikiri chapa ya mpinga kristo itakuwa ni namba ya NIDA tu [emoji23][emoji23][emoji23]
hata kununua nyanya lazima uweke finger print hapo ndio upewe nyanya.
Pesa itakua ni namba tu, hakuna kuzibeba physically