Elon Musk hatutakii mema sisi watu wa kawaida

Elon Musk hatutakii mema sisi watu wa kawaida

Hizo ndio athari za kukua kwa teknolojia na hatuwezi kuzuia.
 
Unaweza kuchukulia simple lakini jamaa tuwaangalie kwa jicho lingine , asee wale watu sio poa

Just like magonjwa yanavyo exist kwa binadamu, lakini haimzuii binadamu kua na kuzaliana.
The point hapa hackers wapo na watazaliwa wengine, ila technology itaendelea kukuwa day after day
 
Just like magonjwa yanavyo exist kwa binadamu, lakini haimzuii binadamu kua na kuzaliana.
The point hapa hackers wapo na watazaliwa wengine, ila technology itaendelea kukuwa day after day
Sure, let's see what will happen 😰😪
 
mbali na midoli, mimi nawaza kwenye kasi ya Internet.
watakapoongeza output bandwidth ya Internet.

Nafikiri chapa ya mpinga kristo itakuwa ni namba ya NIDA tu [emoji23][emoji23][emoji23]

hata kununua nyanya lazima uweke finger print hapo ndio upewe nyanya.

Pesa itakua ni namba tu, hakuna kuzibeba physically
New world order

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom