Elon Musk kuifungua Account ya Donald Trump Jumatatu

Elon Musk kuifungua Account ya Donald Trump Jumatatu

wapo kama wanne wamechomolewa, hio 200m sio ya kila moja bali wanagawana..

ni pesa ndogo sana ukilinganisha na power waliyo kuwa nayo ya kui controll twitter,

pesa ni mtoto kwa power, power ndio baba lao.
Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue
 
Mkuu hata kama kawatimua wanaondoka na package ya kutosha ya zaidi ya 200 m usd.
Hamna. CEO anaondoka na $60 million. Ni nyingi of course, hata hivyo CEO alikuwa anafanya kazi kulingana na matakwa ya shareholders, sio matakwa ya Musk wala raia wasio na hisa wala. Hata watumiaji sio wa muhimu kuliko shareholders
 
View attachment 2400693

Naona Elon amedhamiria kupafanya twitter uwe uwanja fair, sio kama zamani uongozi wa watu wenye woke agenda ukiona mtu flani yupo kinyume na agenda yao wanamfungia

Anaandika Trump

Pongezi ziende kwa Elon Musk kwa maamuzi ya kuinunua Twiter, Watu wengi wanasema mabadiliko yalihitajika kwa sababu uongozi wa zamani uliipa kipaumbele ajenda za kuwa woke

Nimejuzwa kwamba account yangu itarudishwa upya jumatatu - tusubiri tuone. Nafurahi kujumuika twitter na ElonMusk, mmarekani mwafrika.
Hii ni failure kwake kwakuwa alianzisha mtandao wake lakini umeshindwa kabisa kufanya vema
 
Unajua Elon musk amenunua Twitter bila kupenda Bali kwa kulazimishwa na uongozi wa Twitter CEO aliyefukuzwa akiwemo penda kuwa unafuatilia mambo usiwe unaropoka ropoka

Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue
Acha Ujinga wewe Elon alitaka aambiwe idadi ya Account fake ndio alipe. Unakuja judanganya watu Twitter hailipi ndio maana walilazimisha kuuza [emoji1]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hata hivyo wamemjambisha. Kwasababu si alijifanya kiherehere kusitisha kununua? Wakampeleka Mahakamani kumlazimisha kununua jamaa akakomaa lakini ikamlazim tu anunue kabla ya leo kesi kuanza kusikia zwa. Na wote hawa walishajua haka kiherehere (mwafrika uchwara) akiinunua watapoteza kazi.
kwahiyo walimlazimisha anunue ili awafukuze?
 
Unajua Elon musk amenunua Twitter bila kupenda Bali kwa kulazimishwa na uongozi wa Twitter CEO aliyefukuzwa akiwemo penda kuwa unafuatilia mambo usiwe unaropoka ropoka

Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue

Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue

Unajua mahakama ndo imemlazimisha anunue acha ujinga
... sawa umeeleweka; uongozi wa twitter ulimlazimisha Elon ainunue twitter ili autimue uongozi. Nonsense!
 
... unaweza kuwa uko sahihi ila kwa nafasi walizokuwa nazo package hiyo inaweza kuwa ya kawaida sana; sema umasikini wetu huku ndio unatufanya tuione kama zaidi ya mbingu ya saba! But for sure usishangae wakaenda ku-complain mamlaka husika kwamba wamepunjwa!
Hawa CEO ndio wajanja....walimlazimiaha Musk kununua kwa hiyo ni wazi waliijua hatima yao.
 
... sawa umeeleweka; uongozi wa twitter ulimlazimisha Elon ainunue twitter ili autimue uongozi. Nonsense!
Kuwa mfuatikiaji wa mambo achaga ujinga mahakama ndo ilimlazimisha kununua baada ya kukataa kununua in first place
Nikikuita mjinga ntakua nakosea
 
View attachment 2400693

Naona Elon amedhamiria kupafanya twitter uwe uwanja fair, sio kama zamani uongozi wa watu wenye woke agenda ukiona mtu flani yupo kinyume na agenda yao wanamfungia

Anaandika Trump

Pongezi ziende kwa Elon Musk kwa maamuzi ya kuinunua Twiter, Watu wengi wanasema mabadiliko yalihitajika kwa sababu uongozi wa zamani uliipa kipaumbele ajenda za kuwa woke

Nimejuzwa kwamba account yangu itarudishwa upya jumatatu - tusubiri tuone. Nafurahi kujumuika twitter na ElonMusk, mmarekani mwafrika.
Kigogo kajifia natural death
 
Unaijua USD million 200 ni sawa na billion almost 500 za kitanzania unasema hela ndogo mtoa comment hajaongelea usd bill 44
Ni kwenu ndo nyingi ndo Mana jamaa alisema kwa nafasi waliokuwa nazo ni wewe masikini ndo utaona Ni nyingi ila Ni kawaida Ni vile wewe hauna ndo mana
 
Back
Top Bottom