Elon Musk kuifungua Account ya Donald Trump Jumatatu

Elon Musk kuifungua Account ya Donald Trump Jumatatu

Ni kwenu ndo nyingi ndo Mana jamaa alisema kwa nafasi waliokuwa nazo ni wewe masikini ndo utaona Ni nyingi ila Ni kawaida Ni vile wewe hauna ndo mana
Kwa marekani watu wanaomiliki usd million 100 ni group la less than one percent ya total population
Ujinga ni tatizo kubwa sana Tanzania
 
Kuna kitu sjaelewa wadau,huyu jamaa kwanini walimlazimisha kuinunua Twitter,na kwa akina nani walikuwa wanamlazimisha kuinunua na mbona baada ya kuinunua katimua Kamati nzima ya Twitter?
 
wapo kama wanne wamechomolewa, hio 200m sio ya kila moja bali wanagawana..

ni pesa ndogo sana ukilinganisha na power waliyo kuwa nayo ya kui controll twitter,

pesa ni mtoto kwa power, power ndio baba lao.
mzee wa kamba
 
Back
Top Bottom