Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunuewapo kama wanne wamechomolewa, hio 200m sio ya kila moja bali wanagawana..
ni pesa ndogo sana ukilinganisha na power waliyo kuwa nayo ya kui controll twitter,
pesa ni mtoto kwa power, power ndio baba lao.
Cha umbwaUsd mill 200 ndogo we unakichaa kikali
Hamna. CEO anaondoka na $60 million. Ni nyingi of course, hata hivyo CEO alikuwa anafanya kazi kulingana na matakwa ya shareholders, sio matakwa ya Musk wala raia wasio na hisa wala. Hata watumiaji sio wa muhimu kuliko shareholdersMkuu hata kama kawatimua wanaondoka na package ya kutosha ya zaidi ya 200 m usd.
Hii ni failure kwake kwakuwa alianzisha mtandao wake lakini umeshindwa kabisa kufanya vemaView attachment 2400693
Naona Elon amedhamiria kupafanya twitter uwe uwanja fair, sio kama zamani uongozi wa watu wenye woke agenda ukiona mtu flani yupo kinyume na agenda yao wanamfungia
Anaandika Trump
Pongezi ziende kwa Elon Musk kwa maamuzi ya kuinunua Twiter, Watu wengi wanasema mabadiliko yalihitajika kwa sababu uongozi wa zamani uliipa kipaumbele ajenda za kuwa woke
Nimejuzwa kwamba account yangu itarudishwa upya jumatatu - tusubiri tuone. Nafurahi kujumuika twitter na ElonMusk, mmarekani mwafrika.
Acha Ujinga wewe Elon alitaka aambiwe idadi ya Account fake ndio alipe. Unakuja judanganya watu Twitter hailipi ndio maana walilazimisha kuuza [emoji1]Unajua Elon musk amenunua Twitter bila kupenda Bali kwa kulazimishwa na uongozi wa Twitter CEO aliyefukuzwa akiwemo penda kuwa unafuatilia mambo usiwe unaropoka ropoka
Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue
Kwa lipi!!?? Kwa ubaguzi wake na udiktetaDonald John Trump......we missed you our president
Unajua mahakama ndo imemlazimisha anunue acha ujingaAcha Ujinga wewe Elon alitaka aambiwe idadi ya Account fake ndio alipe. Unakuja judanganya watu Twitter hailipi ndio maana walilazimisha kuuza [emoji1]
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hao walikuwa 'too liberals' wasingempenda Trump.... wale ma-CEO wahindi wa twitter ya zamani walikuwa wapumbavu sana; bora Elon kawatimua.
kwahiyo walimlazimisha anunue ili awafukuze?Hata hivyo wamemjambisha. Kwasababu si alijifanya kiherehere kusitisha kununua? Wakampeleka Mahakamani kumlazimisha kununua jamaa akakomaa lakini ikamlazim tu anunue kabla ya leo kesi kuanza kusikia zwa. Na wote hawa walishajua haka kiherehere (mwafrika uchwara) akiinunua watapoteza kazi.
Unajua Elon musk amenunua Twitter bila kupenda Bali kwa kulazimishwa na uongozi wa Twitter CEO aliyefukuzwa akiwemo penda kuwa unafuatilia mambo usiwe unaropoka ropoka
Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue
Kama Twitter ingekua na faida sana uongozi wa Twitter usingemlazimisha musk ainunue
... sawa umeeleweka; uongozi wa twitter ulimlazimisha Elon ainunue twitter ili autimue uongozi. Nonsense!Unajua mahakama ndo imemlazimisha anunue acha ujinga
Hawa CEO ndio wajanja....walimlazimiaha Musk kununua kwa hiyo ni wazi waliijua hatima yao.... unaweza kuwa uko sahihi ila kwa nafasi walizokuwa nazo package hiyo inaweza kuwa ya kawaida sana; sema umasikini wetu huku ndio unatufanya tuione kama zaidi ya mbingu ya saba! But for sure usishangae wakaenda ku-complain mamlaka husika kwamba wamepunjwa!
Kuwa mfuatikiaji wa mambo achaga ujinga mahakama ndo ilimlazimisha kununua baada ya kukataa kununua in first place... sawa umeeleweka; uongozi wa twitter ulimlazimisha Elon ainunue twitter ili autimue uongozi. Nonsense!
Kigogo kajifia natural deathView attachment 2400693
Naona Elon amedhamiria kupafanya twitter uwe uwanja fair, sio kama zamani uongozi wa watu wenye woke agenda ukiona mtu flani yupo kinyume na agenda yao wanamfungia
Anaandika Trump
Pongezi ziende kwa Elon Musk kwa maamuzi ya kuinunua Twiter, Watu wengi wanasema mabadiliko yalihitajika kwa sababu uongozi wa zamani uliipa kipaumbele ajenda za kuwa woke
Nimejuzwa kwamba account yangu itarudishwa upya jumatatu - tusubiri tuone. Nafurahi kujumuika twitter na ElonMusk, mmarekani mwafrika.
Musk must complete Twitter deal by Oct. 28 to avoid trial, judge ruleskwahiyo walimlazimisha anunue ili awafukuze?
Ni kwenu ndo nyingi ndo Mana jamaa alisema kwa nafasi waliokuwa nazo ni wewe masikini ndo utaona Ni nyingi ila Ni kawaida Ni vile wewe hauna ndo manaUnaijua USD million 200 ni sawa na billion almost 500 za kitanzania unasema hela ndogo mtoa comment hajaongelea usd bill 44
Hiyo ni pesa kubwa kibongo. Ila siyo pesa ya kustafia MarekaniMkuu hata kama kawatimua wanaondoka na package ya kutosha ya zaidi ya 200 m usd.