Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
4,766
Reaction score
16,191
AA1iGx4v.img


Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', 😳 Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja wajitafakari.

Hata hivyo inadaiwa si mara ya kwanza Musk kutoleana mbovu na wikipedia. Inadaiwa moja ya waanzilishi wa wikipedia Jimmy Wales alimkosoa Elon Musk kwa kuzuia uhuru wa kujieleza mtandaoni baada ya kukubali matakwa ya serikali ya Turkey kuzuia baadhi ya Tweets katika nchi ya Turkey wakati wa uchaguzi May 2023.

Wikipedia ambayo inaendeshwa na wikimedia, shirika linalojiendesha pasipo kutengeneza faida(non profit organization) inaweza kufanya mapinduzi makubwa katika encyclopedia ya mtandaoni endapo tu itapata kiasi hiko.

Watu wamekuwa na maoni tofauti wengine wakimponda Musk kuwanyanyasa wenzie kwa kwa kutumia utajiri alionao. Wengine wakiisisitiza wikipedia ikatae msaada huo.
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Ni kama NGOs tu, wanapata pesa kutoka kwa watu binafsi, serikali, makampuni n.k. Mfano wikipedia inajiendesha kwa kupata donations kutoka kwa watu mbali mbali na mashirika.
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Kwa non profit organization ni kitendo cha kutogawana faida hata ikipatikana. Huko faida hiyo huitwa ziada. Wanachokifanya ni kupata fedha kutoka kwa wafadhili, wanaendesha biashara ambazo nyingi zinakuwa kwa mfumo wa huduma kama shule, mahospitali n.k. Ziada inayopatikana kutokana na makusanyo hayo hawagawani. Inabaki humo humo kuendeshea huduma zao.
Tukumbuke kuwa hao wanaoanzisha hizo non profit organization wanajilipa mishahara, minono minono kulingana na ukubwa wa hiyo ngo. Hivyo wanaishi kama wafanyakazi wengine wa hiyo ngo. Wanakula raha tu.
Wikipedia mapato yao wanapata kwenye mtandao.
 
AA1iGx4v.img


Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', 😳 Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja wajitafakari.

Hata hivyo inadaiwa si mara ya kwanza Musk kutoleana mbovu na wikipedia. Inadaiwa moja ya waanzilishi wa wikipedia Jimmy Wales alimkosoa Elon Musk kwa kuzuia uhuru wa kujieleza mtandaoni baada ya kukubali matakwa ya serikali ya Turkey kuzuia baadhi ya Tweets katika nchi ya Turkey wakati wa uchaguzi May 2023.

Wikipedia ambayo inaendeshwa na wikimedia, shirika linalojiendesha pasipo kutengeneza faida(non profit organization) inaweza kufanya mapinduzi makubwa katika encyclopedia ya mtandaoni endapo tu itapata kiasi hiko.

Watu wamekuwa na maoni tofauti wengine wakimponda Musk kuwanyanyasa wenzie kwa kwa kutumia utajiri alionao. Wengine wakiisisitiza wikipedia ikatae msaada huo.
Hajawahi kuwa na akili timamu huyu jamaa.
 
Kwa non profit organization ni kitendo cha kutogawana faida hata ikipatikana. Huko faida hiyo huitwa ziada. Wanachokifanya ni kupata fedha kutoka kwa wafadhili, wanaendesha biashara ambazo nyingi zinakuwa kwa mfumo wa huduma kama shule, mahospitali n.k. Ziada inayopatikana kutokana na makusanyo hayo hawagawani. Inabaki humo humo kuendeshea huduma zao.
Tukumbuke kuwa hao wanaoanzisha hizo non profit organization wanajilipa mishahara, minono minono kulingana na ukubwa wa hiyo ngo. Hivyo wanaishi kama wafanyakazi wengine wa hiyo ngo. Wanakula raha tu.
Wikipedia mapato yao wanapata kwenye mtandao.
Sasa si ndo profit 😁😁😁
 
Kumbe unaweza kuwa na kampuni inapeleka vifaa kwenye Mars na mwezini, una kampuni inatengeneza gari za umeme na ukawa hauna akili timamu?
Anaweza akawa na akili ila kuna wakati anafanya vitu kama hana akili.hatusemi kuwa sio msomi.ni msomi sanaa ila kuna vitu vinamuondolea utashi.mpaka unajiuliza ni yeye
 
Kwa non profit organization ni kitendo cha kutogawana faida hata ikipatikana. Huko faida hiyo huitwa ziada. Wanachokifanya ni kupata fedha kutoka kwa wafadhili, wanaendesha biashara ambazo nyingi zinakuwa kwa mfumo wa huduma kama shule, mahospitali n.k. Ziada inayopatikana kutokana na makusanyo hayo hawagawani. Inabaki humo humo kuendeshea huduma zao.
Tukumbuke kuwa hao wanaoanzisha hizo non profit organization wanajilipa mishahara, minono minono kulingana na ukubwa wa hiyo ngo. Hivyo wanaishi kama wafanyakazi wengine wa hiyo ngo. Wanakula raha tu.
Wikipedia mapato yao wanapata kwenye mtandao.
Wikipedia hawapati pesa kwenye mtandao kwa sababu hawana matangazo, wanapata fedha kujiendesha kupitia michango ya wadau mbali mbali.

Wanaoingiza pesa kupitia mtandao ni facebook, instagram n.k.
 
Anaweza akawa na akili ila kuna wakati anafanya vitu kama hana akili.hatusemi kuwa sio msomi.ni msomi sanaa ila kuna vitu vinamuondolea utashi.mpaka unajiuliza ni yeye
Hio ni pesa inaongea mkuu, sio yeye tumsamehe 🤣
 
Kabisa kabisa tupo pamoja.kuna maneno mtu fulani akiyasema unajiuliza mara mbili mbili.ebu jiulize kulikuwa na umuhimu gani kubadilisha jina twitter kwenda X? Mwisho wa siku mpaka sasa watu wameshindwa kwenda na hilo jina bado wanatumia jina la twitter
Ila kiukweli, ile X sijaikubali kuanzia logo hadi inavyo sound, ila ndio hivyo nguvu ya pesa.
 
Back
Top Bottom