Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

Mtu asiye na hekima kishakuwa na hela nyingi, basi ule ujinga na upumbavu wake ataulazimisha uwe halali mbele ya jamii
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Niliuliza hili swali quora ila kwenye open source software kama linux, Android nk.
Kuna IDE kama ATOM, Eclipse, app kama Filmora nk.
Bwana Elon Musk alitaka AI iwe free open source sjashindwa kukubaluana na wenzake, mdi.msimchukulie kuwa capitalist. hata hivyo Open AI ipo nusu nusu.
Language model inauotumika ku develop AI ni free open source.
Sasa open source wanaendeshaje miradi yao bila hasara?
Wanatumia donors; matajiri mbalibali huchangia miradi ya open source software .
Watu kama mimi na wewe hu donate hio miradi kupitia account zao.
Mfano MIT freeware huendeshwa kwa donation dunia nzima na kuwezesha uendelezaji wa elimu huria bure.
Kampuni za open source hufanya consultation kusaidia kampuni zingine na kuweza kupata pesa kuendesha mradi wao.
Kuweka dirisha ka ku upgrade huduma za ziada ambazo mtumiaji atalazimika kuchangia ili apate hudima full package. Mfano kwenye filmora kuna filmora pro ambayo ina advanced feature kuzipata inabidi uchangie.
Vile vile hutumia wataalamu wengine kuweka ujuxi wao bure. Wewe kama ni mtaalamu unaweza changia ujuzi bila kulipwa.
Mfano wikipedia mtu yoyote anaweza weja taarifa za kiutalaamu bila kulipwa.
Baadhi ya wazungu au wataalamu wanapigania open source technology ili kuzuia monopolization of technology.
Japokuwa wale wanaoficha technolojia na kutuuzia wana nguvu sana kwa sababu ni matajiri mfano Billgate, wamiliki wa google( japo goohle kuna baadhi ya vitu wameviacha viwe open source mfano android).
Android inatumiwa na kampuni nyingi za simu kitu ambacho microsoft/ apple hawajaruhusu.
Kama utanyimwa haki ya kutumia android itabidi uunde window yako kitu ambacho ni kigumu sana(faisa ta ooen source ndoo inapo onekana).
Kwa hio open source ni kwa ajili ya kumkomboa mtu masikini asieweza kumudu kununua technolojia kwa gharama kubwa.
Kutokana na gharama kuwa kubwa ndio kumepelekea kuibuka kwa hackers.
Wajuzi wataongezea zaidi.
 
Ila kiukweli, ile X sijaikubali kuanzia logo hadi inavyo sound, ila ndio hivyo nguvu ya pesa.
Kwa sababu kichwa kimejaa kumbukumbu za xx porn. Kama ungekuwa mambo ya xx porn hayamo kichwani mwako wala usingeona shida.
Kumbuka kuna mwamba anaitwa MALCOM X
 
Na ndo sheria ya watu mamafia,,, uyu jamaa mlinzi wake alikamatwa na kilo 120 za madawa yakulevya,,, nyie mnaweza mkawa mnaona anaitukana kumbe yeye anatarget masoko yake ya uko bitcoin
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
JF nayo si NGO, ngoja melo aje kukujibu.
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Non profit sio maana yake kupata hasara. Wao hawauzi huduma wanayotoa na hawana matangazo yanayolipa pesa kwao

Wanajiensesha kwa kutegemea uchangiaji wa fedha toka kwa yeyote anayehitaji kuwasaidia. Ndio zile "DONATE" buttons
 
Kumbe unaweza kuwa na kampuni inapeleka vifaa kwenye Mars na mwezini, una kampuni inatengeneza gari za umeme na ukawa hauna akili timamu?
The most intelligent, successful and richest movie director alikua na matatizo ya akili na watu wakaja kushtuka baadaye mno
 
AA1iGx4v.img


Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', 😳 Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja wajitafakari.

Hata hivyo inadaiwa si mara ya kwanza Musk kutoleana mbovu na wikipedia. Inadaiwa moja ya waanzilishi wa wikipedia Jimmy Wales alimkosoa Elon Musk kwa kuzuia uhuru wa kujieleza mtandaoni baada ya kukubali matakwa ya serikali ya Turkey kuzuia baadhi ya Tweets katika nchi ya Turkey wakati wa uchaguzi May 2023.

Wikipedia ambayo inaendeshwa na wikimedia, shirika linalojiendesha pasipo kutengeneza faida(non profit organization) inaweza kufanya mapinduzi makubwa katika encyclopedia ya mtandaoni endapo tu itapata kiasi hiko.

Watu wamekuwa na maoni tofauti wengine wakimponda Musk kuwanyanyasa wenzie kwa kwa kutumia utajiri alionao. Wengine wakiisisitiza wikipedia ikatae msaada huo.
Wikipedia wachukue hiyo hela. Re-branding yao haitakuwa na negative effects zozote kwao. Mtu ana hela zimejaa anataka kuzitumia halafu watu mnazikataa?
Mimi sitaelewa kama Wikipedia watazikataa hizi fedha. Wazichukue na ni msaada kwao mzuri tu
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Kuwa NON PROFIT ORGANISATIONS, hakumaanishi kuwa hawana vyanzo vya kupata fedha isipokuwa wao wako registered si kwa nia ya kutoa huduma ili wapate faida.

Lengo lao siyo kupata faida, ila vyanzo vya kupata fedha wanavyo. Waangalie hawa watoto wanaorusha kipindi cha DADAS EATV kila siku kwa siku za wiki halafu ujiulize wamewezaje kuendesha hicho kipindi kwa miaka kadhaa sasa
 
Siku mimi nikipata hela ya namna hii, nitahakikisha kuwa hakuna mtu yeyote yule anayekufa kwa njaa popote pale duniani. Mtu kufa kwa njaa itakuwa hapana, labda kwa magonjwa
 
Masikini ndo wana matatizo ya akili. Toka lini tajiri akawa na matatizo ya akili?
MIMI NI MWANA SAIKOLOJIA WA KUZALIWA.ukiongea na mimi ndani ya dakika 5 nakufahamu wewe ni mtu wa aina gani.sawa dogo?
 

Attachments

  • Screenshot_20231201_233552_One UI Home.jpg
    Screenshot_20231201_233552_One UI Home.jpg
    93.2 KB · Views: 3
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Non profit org haimaanishi kuwa zinajiendesha kwa hasara, bali ni kwa fedha za wafadhili, mfano ni kama hiyo mwenda anavyotaka kuwapa pesa. Ila wafadhili wao si wenye akili kama za huyu kwenye huu uzi.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kwa non profit organization ni kitendo cha kutogawana faida hata ikipatikana. Huko faida hiyo huitwa ziada. Wanachokifanya ni kupata fedha kutoka kwa wafadhili, wanaendesha biashara ambazo nyingi zinakuwa kwa mfumo wa huduma kama shule, mahospitali n.k. Ziada inayopatikana kutokana na makusanyo hayo hawagawani. Inabaki humo humo kuendeshea huduma zao.
Tukumbuke kuwa hao wanaoanzisha hizo non profit organization wanajilipa mishahara, minono minono kulingana na ukubwa wa hiyo ngo. Hivyo wanaishi kama wafanyakazi wengine wa hiyo ngo. Wanakula raha tu.
Wikipedia mapato yao wanapata kwenye mtandao.
OK
 
Back
Top Bottom