Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

Elon Musk kuisaidia Wikipedia $1 Billion, endapo tu itabadili jina

Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Donation mbalimbali kutoka kwenye foundations za Kimataifa especially zinazo embrace freedom of expression
 
Kabisa kabisa tupo pamoja.kuna maneno mtu fulani akiyasema unajiuliza mara mbili mbili.ebu jiulize kulikuwa na umuhimu gani kubadilisha jina twitter kwenda X? Mwisho wa siku mpaka sasa watu wameshindwa kwenda na hilo jina bado wanatumia jina la twitter
Twitter forever!!
 
Yupo kama mudi Au yule muhajemi😂

Huyu ana onesha tabia za waafrika kama wenzie tajwa hapo juu...

Waafrika na wenye asili hiyo vichwa vyao vipo kasi sana🤣
 
Kabisa kabisa tupo pamoja.kuna maneno mtu fulani akiyasema unajiuliza mara mbili mbili.ebu jiulize kulikuwa na umuhimu gani kubadilisha jina twitter kwenda X? Mwisho wa siku mpaka sasa watu wameshindwa kwenda na hilo jina bado wanatumia jina la twitter
Hahaaaaa mara "Dick " mara " X "
Mzungu kichaa Elon musk huyo [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
AA1iGx4v.img


Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', 😳 Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja wajitafakari.

Hata hivyo inadaiwa si mara ya kwanza Musk kutoleana mbovu na wikipedia. Inadaiwa moja ya waanzilishi wa wikipedia Jimmy Wales alimkosoa Elon Musk kwa kuzuia uhuru wa kujieleza mtandaoni baada ya kukubali matakwa ya serikali ya Turkey kuzuia baadhi ya Tweets katika nchi ya Turkey wakati wa uchaguzi May 2023.

Wikipedia ambayo inaendeshwa na wikimedia, shirika linalojiendesha pasipo kutengeneza faida(non profit organization) inaweza kufanya mapinduzi makubwa katika encyclopedia ya mtandaoni endapo tu itapata kiasi hiko.

Watu wamekuwa na maoni tofauti wengine wakimponda Musk kuwanyanyasa wenzie kwa kwa kutumia utajiri alionao. Wengine wakiisisitiza wikipedia ikatae msaada huo.
Huyu sio mzima ana uchizi kidogo...
 
Kumbe unaweza kuwa na kampuni inapeleka vifaa kwenye Mars na mwezini, una kampuni inatengeneza gari za umeme na ukawa hauna akili timamu?
Mwenye akili Timamu ni yule anasubiri umeme wa Mgao na maji ya kununua kwa ndoo wakati Mto Ruvu yanamwagika tuu au Wami hapo yanachezewa na Viboko...
 
huyu jamaa ni mzungu lakini ana tabia zote za kiafrica aliyepata pesa. mamake alikuwa mmarekani baba mcanada, na alizaliwa africa kusini naona akachukua kiburi cha pesa cha waafrica.
 
Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Non Profit organisations zinatengeneza faida lakini hiyo faida haiendi kwa wawekezaji.. Zingatia haziendi kwa wawekezaji. Hata hasara haiendi kwa wawekezaji.

Kwa kifupi hakuna gaiwo kwa wawekezaji. Kwa hiyo faida na hasara zinabaki kuwa za organization husika.
 
Ajabu ndio tajiri namba 1.
Wewe mwenye akili hata kazi ya kisafisha choo chake huwezi pata.
Utajiri wake ndio umemfanya awe hivo, na sijasema hivo kwa lengo lolote baya. Kunywa maji relax.

Pambana hiyo hard life iwe nzuri.
 
Back
Top Bottom