Donation mbalimbali kutoka kwenye foundations za Kimataifa especially zinazo embrace freedom of expressionHivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Sio wewe tu ndio maana thaman yake imeangukaIla kiukweli, ile X sijaikubali kuanzia logo hadi inavyo sound, ila ndio hivyo nguvu ya pesa.
Twitter forever!!Kabisa kabisa tupo pamoja.kuna maneno mtu fulani akiyasema unajiuliza mara mbili mbili.ebu jiulize kulikuwa na umuhimu gani kubadilisha jina twitter kwenda X? Mwisho wa siku mpaka sasa watu wameshindwa kwenda na hilo jina bado wanatumia jina la twitter
And they make no profit.Donation mbalimbali kutoka kwenye foundations za Kimataifa especially zinazo embrace freedom of expression
Hakuna profit, profit unafanya biashara. Wao wanapokea michango tu.And they make no profit.
Hahaaaaa mara "Dick " mara " X "Kabisa kabisa tupo pamoja.kuna maneno mtu fulani akiyasema unajiuliza mara mbili mbili.ebu jiulize kulikuwa na umuhimu gani kubadilisha jina twitter kwenda X? Mwisho wa siku mpaka sasa watu wameshindwa kwenda na hilo jina bado wanatumia jina la twitter
InawezekanaKumbe unaweza kuwa na kampuni inapeleka vifaa kwenye Mars na mwezini, una kampuni inatengeneza gari za umeme na ukawa hauna akili timamu?
Huyu sio mzima ana uchizi kidogo...
Ni habari ambayo imeacha watu vinywa wazi baada ya CEO wa Tesla na Space X Elon Musk kupendekeza kuisaidia wikipedia msaada wa dola bilioni moja kwa masharti kama itaweza kubadili jina kutoka wikipedia kuwa 'Dickipedia', 😳 Elon Musk amesisitiza ametoa kipindi chini ya mwaka mmoja wajitafakari.
Hata hivyo inadaiwa si mara ya kwanza Musk kutoleana mbovu na wikipedia. Inadaiwa moja ya waanzilishi wa wikipedia Jimmy Wales alimkosoa Elon Musk kwa kuzuia uhuru wa kujieleza mtandaoni baada ya kukubali matakwa ya serikali ya Turkey kuzuia baadhi ya Tweets katika nchi ya Turkey wakati wa uchaguzi May 2023.
Wikipedia ambayo inaendeshwa na wikimedia, shirika linalojiendesha pasipo kutengeneza faida(non profit organization) inaweza kufanya mapinduzi makubwa katika encyclopedia ya mtandaoni endapo tu itapata kiasi hiko.
Watu wamekuwa na maoni tofauti wengine wakimponda Musk kuwanyanyasa wenzie kwa kwa kutumia utajiri alionao. Wengine wakiisisitiza wikipedia ikatae msaada huo.
Huko mbele kuna watu wana excess money. Wana donate tu kama ma philanthropists.And they make no profit.
Hiyu Jamaa pamoja na fedha alizonazo, bado hayuko vizuri na Baba yake mzazi Errol Musk ambaye ni m South Africa. Kuna mahali walipishana baada ya mama yao kutalikiana na mzee Errol na kisha kumuoa na kumzalisha watoto wawili Binti yake wa kufikia (Step Daughter).Huyu sio mzima ana uchizi kidogo...
Mwenye akili Timamu ni yule anasubiri umeme wa Mgao na maji ya kununua kwa ndoo wakati Mto Ruvu yanamwagika tuu au Wami hapo yanachezewa na Viboko...Kumbe unaweza kuwa na kampuni inapeleka vifaa kwenye Mars na mwezini, una kampuni inatengeneza gari za umeme na ukawa hauna akili timamu?
Ajabu ndio tajiri namba 1.Hajawahi kuwa na akili timamu huyu jamaa.
Anakula bangi sana huyu mwambaMimi binafsi uwa namuona musk Ana matatizo ya akili
Non Profit organisations zinatengeneza faida lakini hiyo faida haiendi kwa wawekezaji.. Zingatia haziendi kwa wawekezaji. Hata hasara haiendi kwa wawekezaji.Hivi non profit organisations zinajiendeshaje? Tunaamini kabisa ni shirika/taasisi isiyojiendesha kwa faida? Then kama ni kwa hasara moaka sasa wametengeneza hasara kuwbwa kiasi gani?
Utajiri wake ndio umemfanya awe hivo, na sijasema hivo kwa lengo lolote baya. Kunywa maji relax.Ajabu ndio tajiri namba 1.
Wewe mwenye akili hata kazi ya kisafisha choo chake huwezi pata.