Elon Musk kuleta Intaneti ni tishio kwa mitandao ya simu, atapora wateja wenye matumizi makubwa na kuteka soko sehemu ambazo network inasumbua

Elon Musk kuleta Intaneti ni tishio kwa mitandao ya simu, atapora wateja wenye matumizi makubwa na kuteka soko sehemu ambazo network inasumbua

vifaa na Installation ni milioni 1.

kifurushi kinadumu kwa mwezi, nadani anapanga bei kwa kuangalia uchumi wa nchi, Marekani ni 230,000/= , Nigeria ni 98,000, Hapa Kwetu si ajabu ikawa 70,000 kwa mwezi.

Ni internet ya kisasa, Speed yake ni kubwa sana, unaweza kushusha file la gb 1 speed ikiwa chini utatumia sekunde 20 tu, ni kugusa tu hakuna kusubiri, kucheki video ama video call hakuna mambo ya kuganda.

Haina kikomo, ukitumia hata gb 20 kwa siku ni wewe.

Inaweza kupatikana mpaka mbugani, milimani, kwenye makorongo na sehemu remote ambazo mitandao ya simu haijaweza kufikia, Ni kama vile dstv.
Endeleeni kushabikia tu wakati Freemason wanawaingiza mkenge.
 
Jamaa anachelewa nn
Inahitaji approvals za serikali
IMG_20230207_223229.jpg
 
Hili ni Jambo jema kwa Nchi ila Tatizo litakuja kwa serikali yetu hii... Hapa ndo mtachoka na waambia, hio starlink itapigwa kodi mpaka mtashangaa, tutarudi palepale kwenye 3000 kwa GB 1.
Hebu imagine nchi kama hii et wanazuia njia za mtu kupokea pesa from abroad, seriously?
 
Unajua solution ni rahis tu ili usipoteze mapato wakubaliwe tu wakifanya tofaut na hivyo wataikosesha serikali mapato unajua watu watakua wanaenda nje kama Kenya wananunua vifaa hivyo anakuja kufunga kwake alaf analipia kila mwezi hapo serikali itakua inakosa mapato kizembe sanaa kisa kukunja
Serikali yetu ni washamba sana
 
vifaa na Installation ni milioni 1.

kifurushi kinadumu kwa mwezi, nadani anapanga bei kwa kuangalia uchumi wa nchi, Marekani ni 230,000/= , Nigeria ni 98,000, Hapa Kwetu si ajabu ikawa 70,000 kwa mwezi.

Ni internet ya kisasa, Speed yake ni kubwa sana, unaweza kushusha file la gb 1 speed ikiwa chini utatumia sekunde 20 tu, ni kugusa tu hakuna kusubiri, kucheki video ama video call hakuna mambo ya kuganda.

Haina kikomo, ukitumia hata gb 20 kwa siku ni wewe.

Inaweza kupatikana mpaka mbugani, milimani, kwenye makorongo na sehemu remote ambazo mitandao ya simu haijaweza kufikia, Ni kama vile dstv.
Ogopa teachnology ipo siku hakuta kuwa na simu.
 
Unajua solution ni rahis tu ili usipoteze mapato wakubaliwe tu wakifanya tofaut na hivyo wataikosesha serikali mapato unajua watu watakua wanaenda nje kama Kenya wananunua vifaa hivyo anakuja kufunga kwake alaf analipia kila mwezi hapo serikali itakua inakosa mapato kizembe sanaa kisa kukunja

Wakose tu mapato wananufaika wao
 
Unajua solution ni rahis tu ili usipoteze mapato wakubaliwe tu wakifanya tofaut na hivyo wataikosesha serikali mapato unajua watu watakua wanaenda nje kama Kenya wananunua vifaa hivyo anakuja kufunga kwake alaf analipia kila mwezi hapo serikali itakua inakosa mapato kizembe sanaa kisa kukunja
Na Dunia nzima imeridhia uchumi wa soko huria. Kwann wakatae? Wanataka uganga?!! [emoji13][emoji13][emoji4]
 
Swali je nape na timu yake Voda Airtel tigo halotel Simba net watakubali hii kitu jibu ni hapana.
Sijui watu wengine hawajaielewa vizuri Tanzania jinsi ilivyo au ni kusahau tu!

DSTV ya Afrika Kusini bei chini kuliko ya Tanzania, hivyo hivyo Azam ya Burundi ipo Chini kuliko ya Tanzania.

Tena msije kushangaa hiyo Starlink ikanyimwa kibali kama itakataa kufuata masharti ya Nape na wadau wake
 
vifaa na Installation ni milioni 1.

kifurushi kinadumu kwa mwezi, nadani anapanga bei kwa kuangalia uchumi wa nchi, Marekani ni 230,000/= , Nigeria ni 98,000, Hapa Kwetu si ajabu ikawa 70,000 kwa mwezi.

Ni internet ya kisasa, Speed yake ni kubwa sana, unaweza kushusha file la gb 1 speed ikiwa chini utatumia sekunde 20 tu, ni kugusa tu hakuna kusubiri, kucheki video ama video call hakuna mambo ya kuganda.

Haina kikomo, ukitumia hata gb 20 kwa siku ni wewe.

Inaweza kupatikana mpaka mbugani, milimani, kwenye makorongo na sehemu remote ambazo mitandao ya simu haijaweza kufikia, Ni kama vile dstv.

Kwa ninachokiona Elon Musk akiileta hii internet akasomba wateja wengi wale wenye matumizi makubwa hasa wale wanaotumia vifurushi vya laki 1 kila mwezi kwajili ya ofisi zao.

Kwa kuwa internet ni ya Satelite hapa itaweza kufika hadi maporini na vijijini ambako maeneo hayo mengi internet huwa ni changamoto, hii itakuwa changamoto kwa mitandao ya simu hasa katika miji inayokuwa wakitaka kuweka minara watakuta tayari watu wameshazoea starlink.

HITIMISHO:

Vita inayopiganwa kwa sasa, mosi ni bwana Elon kuingilia mkate umoja wa mitandao ya simu, pili ni ugumu wa kuibana huduma hii kama ilivyo kwa mitandao ya simu.

Kwa hali hii nadhani naanza kuelewa kwanini vibali vinacheleweshwa na huenda tukaja sikia hapo mbele kisingizio chochote cha kuifyekelea mbali, ujio wake unaweza kupora wateja wengi wenye matumizi makubwa, hii ni hatari kwa makampuni ya simu na kama mjuavyo kuna watu wana hisa zao huko.

huyu Elon Musk ni mpiganaji wa haki za uhuru na hata hii internet kaileta kwa mkakati wa kupigania zaidi uhuru wa mtandaoni kuzidi faida, Ni hatari hasa ukizingatia hio internet anaisimamia yeye na anaweza kukataa amri ya kuizima hasa kwenye uchaguzi, Pia hata Twitter ni yake inakuwa ngumu kuwabana watu wasiitumie ikitokea mitandao mingine ya simu imezuiliwa kutumia twitter.

Hapa ndipo atakapo kuwa analazimishwa akubali kuwa tayari kupata maelekezo kutokea juu or else:

"Ni hatari hasa ukizingatia hio internet anaisimamia yeye na anaweza kukataa amri ya kuizima hasa kwenye uchaguzi, Pia hata Twitter ni yake inakuwa ngumu kuwabana watu wasiitumie ikitokea mitandao mingine ya simu imezuiliwa kutumia twitter."

Hapo ndipo penye kusuka au kunyoa.

Ndiyo maana wakaita - bongo, nyoso.
 
Hpa


Hapa ndipo atakapo kuwa analazimishwa akubali kuwa tayari kupata maelekezo kutokea juu or else:

"Ni hatari hasa ukizingatia hio internet anaisimamia yeye na anaweza kukataa amri ya kuizima hasa kwenye uchaguzi, Pia hata Twitter ni yake inakuwa ngumu kuwabana watu wasiitumie ikitokea mitandao mingine ya simu imezuiliwa kutumia twitter."

Hapo ndipo penye kusuka au kunyoa.

Ndiyo maana wakaita - bongo, nyoso.
Tunaoteseka ni sisi
 
Back
Top Bottom