Elon Musk, kwa mara ya kwanza project yako ya Mars imenipa wasiwasi

Elon Musk, kwa mara ya kwanza project yako ya Mars imenipa wasiwasi

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Wasaalam

Screenshot_20210410-074921.png




Mwanasayansi makini , mwanzo sikujutia kukusoma wala kukufatilia,nikakufanya namba mbili baadala ya nguli mwingine kinara aliyeruzukiwa vipawa tele MuItaliano Leornado Mwana wa di ser Piero

Nikaamua kukupokea Ubongoni nikakufanya mwanasayansi Bora wa muda wangu nliyewahi kukushuhdia ,ukairudhuku dunia akili na ufahamu wa ubongo wako nayo ikakupatia utajiri, ukawapiku kina Carlos , Billget na Mark Zuckerberg kila ulipojiskia kutoa project Jeff mwenyewe bado anakutazama kwa jicho la uhaini


Ukaishangaza Dunia kila upendavyo mikakati ya Neuralink ,Space X na Tesla Company vingetosha kwa kila ambaye haamini sababu za wewe kuwa namba moja ,kuamini kuwa unaitendea kazi vilivyo Tasnia ya sayansi na teknolojia.


Serikali ikakuamini ,NASA nayo ikakupa amana,
Una sifa tele Ewe mzaliwa wa Afrika

Nimepata kusikia ,kusoma na kujionea mengi kukuhusu wewe Na project zako, NEW WORLD ORDER na makando kando tele...sikuzipa nafasi ingawa nazielewa sana ,na mikakati yake tunaiona


Nikaruhusu ubongo wangu ukuchukue na kukuamini katika matokeo Chanya pasi na kuwa na shaka nawe
Ule upande hasi nikauweka kando kwanza .


Mars Civilaization ikaniaminisha kile ulichowahi kusema siku moja kati ya Vingi kuhusu project yako hiyo

" Dunia imechafuliwa sana, vipi kama itatokea maafa na madhara (mafuriko,vimondo na mengine) yaliyowahi kutokea kabla, na Ilhali tuna teknolojia inayoweza kutufikisha sehemu nyingine Endapo Dunia yetu itakutana na Maafa"


Binafsi mara nyingi huwa naafikiana nawewe hivyo hata sababu hiyo sikupinga na ina ukweli mwingi sana, Mkuu.


Lakini kidogo nikasita baada ya kuiona picha , Picha Hiyo mwishoni kabisa kwenye huu uzi hapo chini ikanikumbusha mengi ina ujumbe Mfupi kwenye macho lakini wenye maudhui ,
mapana sana kwenye ubongo na Moyo wa mwanadamu.


Ikanikumbusha kule Sudan, Somalia, Syria, Gaza, Myanmar, na nchi nyingi zenye maafa na Dhiki tele
Nikawaza Dunia pengine inahitaji msaada wa kuboreshwa zaidi kuliko Mars


Lakini nikakumbuka wewe si tu mwanasayansi , bali mfanyabiashara nguli na mchapakazi,Tajiri namba mbili Dunia


Ni lazima ungefanya chochote kwa Ajili ya Faida yako binafsi pia na kipato chako, wale watoto Wa karne zijazo wapate kukusoma kwenye vitabu , mitandao ya kijamii na mengineyo mfano wa hayo.


Kuzisaidia nchi zenye maafa ya Njaa kutakurudhuku nini tena??? wewe ilhali hamna faida yoyote , utakayopata Lakini Dunia inahitaji sanaa vingi kuliko Hiyo Mars.


Kibaya na cha Ovyo Zaidi hamna utakacho bahatika kuona katika Jumbe hii, huenda pia wakutana na Jumbe fupi kuhusu hili, au comments fupi kwenye Akaunti zako za mitandao ya kijamii au huenda wewe mwenyewe una lijua hilo lakini, utafanyaje Unapangiwa au laah unaangalia manufaa

Pongezi sana nguli Elon Musk

Hii picha imeniwazisha mengi sana

WHO CARES???

Screenshot_20210409-124802.png











daVinci XV

 
Hayo maafa unayo yaona izo nchi zenye maafa wachonganishi c hao hao wazungu unazani wazungu ni wajinga wananufaika na ayo maafa na iyo migogoro za izo nchi wazungu ni wabaya sana.
 
Mwanasayansi gani au elon musk anacheza na akili za watu izo project ni nadharia useme eti miaka zitazokuwa zimekamilika ni mingi mbele huyu jamaa janja janja sana hana mpya

Kama magari ya umeme tayar yapo baadhi ya nchi wanaproject iyo ndo maana utajiri wake mara unapanda mara unashuka kama bitcoin vile
 
Mwanasayansi gani au elon musk anacheza na akili za watu izo project ni nadharia useme eti miaka zitazokuwa zimekamilika ni mingi mbele huyu jamaa janja janja sana hana mpya

Kama magari ya umeme tayar yapo baadhi ya nchi wanaproject iyo ndo maana utajiri wake mara unapanda mara unashuka kama bitcoin vile
Aiseee
 
Mwanasayansi gani au elon musk anacheza na akili za watu izo project ni nadharia useme eti miaka zitazokuwa zimekamilika ni mingi mbele huyu jamaa janja janja sana hana mpya

Kama magari ya umeme tayar yapo baadhi ya nchi wanaproject iyo ndo maana utajiri wake mara unapanda mara unashuka kama bitcoin vile
Aiseee
 
Na bado siku ukija gundua kwamba siyo personal interest pekee waliyonayo hawa jamaa wote uliowamention bali pia ni ajenda za NWO na nyuma yake yuko devil himself.
 
Ugonjwa wa Covid-19 unaonekana kuwa chombo cha maandalizi hapa Duniani kufanya mazoezi kwa wateule wachache watakaohama Dunia hii na kwenda kuishi kwenye Sayari nyingine, inaweza kuwa mwezi au Sayari ya Mars.
Baadhi ya nchi tayari zimeisha weka msimamo wa kupima kwanza Covid-19 na kupata majibu yatakayosomeka kwa kila mshirika badala ya kutegemea pasi za kusafiria zinazotumika sasa ulimwenguni. Hii siyo bahati mbaya, watukutu wameisha panga hivyo.... Hutaki acha!!!.
 
Ugonjwa wa Covid-19 unaonekana kuwa chombo cha maandalizi hapa Duniani kufanya mazoezi kwa wateule wachache watakaohama Dunia hii na kwenda kuishi kwenye Sayari nyingine, inaweza kuwa mwezi au Sayari ya Mars.
Baadhi ya nchi tayari zimeisha weka msimamo wa kupima kwanza Covid-19 na kupata majibu yatakayosomeka kwa kila mshirika badala ya kutegemea pasi za kusafiria zinazotumika sasa ulimwenguni. Hii siyo bahati mbaya, watukutu wameisha panga hivyo.... Hutaki acha!!!.
Aiseeeeh
 
Ugonjwa wa Covid-19 unaonekana kuwa chombo cha maandalizi hapa Duniani kufanya mazoezi kwa wateule wachache watakaohama Dunia hii na kwenda kuishi kwenye Sayari nyingine, inaweza kuwa mwezi au Sayari ya Mars.
Baadhi ya nchi tayari zimeisha weka msimamo wa kupima kwanza Covid-19 na kupata majibu yatakayosomeka kwa kila mshirika badala ya kutegemea pasi za kusafiria zinazotumika sasa ulimwenguni. Hii siyo bahati mbaya, watukutu wameisha panga hivyo.... Hutaki acha!!!.
acha ndoto za mchana, mwanadamu ameandikiwa kuishi duniani umri ukiisha atarudi kwenye tumbo la ardhi utalala hapo miaka mingi mpaka siku ya kufufuliwa.....habari za kuishi mwezini na sayari ya mars ni kuota tu mkuu....kama huamini nenda mars tukuone..
 
Viongozi wetu kila siku wanawaita Wanyonyaji na mabeberu eti wanataka kutuua [emoji3][emoji1787] unategemea watu Kama Hawa watoe misaada huku mnawaita Makafiri ??
Acha wafanye yao tusiwapangie
 
Enzi zile za Babylon walijenga ghorofa wakidhamiria kuiona mbingu,
Mungu hakupendezewa aliwaadhibu ,Sasa tunazidisha upotevu tena.
 
Enzi zile za Babylon walijenga ghorofa wakidhamiria kuiona mbingu,
Mungu hakupendezewa aliwaadhibu ,Sasa tunazidisha upotevu tena.
wala hawawezi kufanikiwa distance baina ya ardhi na wingu wa dunia ni 500 years journey nani anaweza kufika na kwa kifaa gani..
 
Back
Top Bottom