Elon Musk, kwa mara ya kwanza project yako ya Mars imenipa wasiwasi

Elon Musk, kwa mara ya kwanza project yako ya Mars imenipa wasiwasi

acha ndoto za mchana, mwanadamu ameandikiwa kuishi duniani umri ukiisha atarudi kwenye tumbo la ardhi utalala hapo miaka mingi mpaka siku ya kufufuliwa.....habari za kuishi mwezini na sayari ya mars ni kuota tu mkuu....kama huamini nenda mars tukuone..
Du!.. Jamaa yangu naona hujui kabisa kinachoendelea, hivi unajua kuwa kilomita 400 kutoka Dunia hii katika anga hii unayoiona kuna kituo ambacho kuna binadamu wanaishi huko wakifanya utafiti huku wakipokezana kuishi huko kwa zamu kila baada ya miezi sita wanaenda wengine?.. tusiandikie mate, tuombe uhai tu, mwaka 2030 utashuhudia kwa macho yako.
 
Hayo maafa unayo yaona izo nchi zenye maafa wachonganishi c hao hao wazungu unazani wazungu ni wajinga wananufaika na ayo maafa na iyo migogoro za izo nchi wazungu ni wabaya sana.
Ni mbwa mkuu na wala siyo binadamu
 
Du!.. Jamaa yangu naona hujui kabisa kinachoendelea, hivi unajua kuwa kilomita 400 kutoka Dunia hii katika anga hii unayoiona kuna kituo ambacho kuna binadamu wanaishi huko wakifanya utafiti huku wakipokezana kuishi huko kwa zamu kila baada ya miezi sita wanaenda wengine?.. tusiandikie mate, tuombe uhai tu, mwaka 2030 utashuhudia kwa macho yako.
sasa kilometa 400 si hapo juu tu mkuu.....we unaona mbali?!..
unazungumzia nini hapa kwani, hiyo international space station au?....mimi ninachokisemea ni sisi wanadamu hatukuandikiwa kuishi sayari nyingine zaidi ya duniani huko tutaishia kutuma vifaa kutafiti tu wala hatuwezi kufanikiwa.....
 
Nani anaelewa hii tweet ya Elon Musk------

Due to lower gravity, you can travel from surface of Mars to surface of Earth fairly easily with a single stage rocket. Earth to Mars is vastly harder.
 
Kuna watu wanakufa kwa kukosa dawa huko vijijini, ila serikali ilienda kununua ndege na kujenga mabwawa ya umeme.

Ukielewa logic ya hii scenario, hata Elon Musk utamuelewa!
 
Nani anaelewa hii tweet ya Elon Musk------

Due to lower gravity, you can travel from surface of Mars to surface of Earth fairly easily with a single stage rocket. Earth to Mars is vastly harder.
GwaB njoo uone wameanza kujitetea mkuu...
 
Wasaalam

View attachment 1748080



Mwanasayansi makini , mwanzo sikujutia kukusoma wala kukufatilia,nikakufanya namba mbili baadala ya nguli mwingine kinara aliyeruzukiwa vipawa tele MuItaliano Leornado Mwana wa di ser Piero

Nikaamua kukupokea Ubongoni nikakufanya mwanasayansi Bora wa muda wangu nliyewahi kukushuhdia ,ukairudhuku dunia akili na ufahamu wa ubongo wako nayo ikakupatia utajiri, ukawapiku kina Carlos , Billget na Mark Zuckerberg kila ulipojiskia kutoa project Jeff mwenyewe bado anakutazama kwa jicho la uhaini


Ukaishangaza Dunia kila upendavyo mikakati ya Neuralink ,Space X na Tesla Company vingetosha kwa kila ambaye haamini sababu za wewe kuwa namba moja ,kuamini kuwa unaitendea kazi vilivyo Tasnia ya sayansi na teknolojia.


Serikali ikakuamini ,NASA nayo ikakupa amana,
Una sifa tele Ewe mzaliwa wa Afrika

Nimepata kusikia ,kusoma na kujionea mengi kukuhusu wewe Na project zako, NEW WORLD ORDER na makando kando tele...sikuzipa nafasi ingawa nazielewa sana ,na mikakati yake tunaiona


Nikaruhusu ubongo wangu ukuchukue na kukuamini katika matokeo Chanya pasi na kuwa na shaka nawe
Ule upande hasi nikauweka kando kwanza .


Mars Civilaization ikaniaminisha kile ulichowahi kusema siku moja kati ya Vingi kuhusu project yako hiyo

" Dunia imechafuliwa sana, vipi kama itatokea maafa na madhara (mafuriko,vimondo na mengine) yaliyowahi kutokea kabla, na Ilhali tuna teknolojia inayoweza kutufikisha sehemu nyingine Endapo Dunia yetu itakutana na Maafa"


Binafsi mara nyingi huwa naafikiana nawewe hivyo hata sababu hiyo sikupinga na ina ukweli mwingi sana, Mkuu.


Lakini kidogo nikasita baada ya kuiona picha , Picha Hiyo mwishoni kabisa kwenye huu uzi hapo chini ikanikumbusha mengi ina ujumbe Mfupi kwenye macho lakini wenye maudhui ,
mapana sana kwenye ubongo na Moyo wa mwanadamu.


Ikanikumbusha kule Sudan, Somalia, Syria, Gaza, Myanmar, na nchi nyingi zenye maafa na Dhiki tele
Nikawaza Dunia pengine inahitaji msaada wa kuboreshwa zaidi kuliko Mars


Lakini nikakumbuka wewe si tu mwanasayansi , bali mfanyabiashara nguli na mchapakazi,Tajiri namba mbili Dunia


Ni lazima ungefanya chochote kwa Ajili ya Faida yako binafsi pia na kipato chako, wale watoto Wa karne zijazo wapate kukusoma kwenye vitabu , mitandao ya kijamii na mengineyo mfano wa hayo.


Kuzisaidia nchi zenye maafa ya Njaa kutakurudhuku nini tena??? wewe ilhali hamna faida yoyote , utakayopata Lakini Dunia inahitaji sanaa vingi kuliko Hiyo Mars.


Kibaya na cha Ovyo Zaidi hamna utakacho bahatika kuona katika Jumbe hii, huenda pia wakutana na Jumbe fupi kuhusu hili, au comments fupi kwenye Akaunti zako za mitandao ya kijamii au huenda wewe mwenyewe una lijua hilo lakini, utafanyaje Unapangiwa au laah unaangalia manufaa

Pongezi sana nguli Elon Musk

Hii picha imeniwazisha mengi sana

WHO CARES???

View attachment 1748073










daVinci XV

Unaonaje ungebadili title?
BTW, its wise kutazama nje ya upeo wa mboni zetu.. Imagining life beyond 1000 years and starting working to deliver your imaginations!!
This is what he chose.
Akina Bilgate wapo wanalifanyia kazi hilo la makapuku tunaoishi duniani kwa wakati huu.
 
Na bado siku ukija gundua kwamba siyo personal interest pekee waliyonayo hawa jamaa wote uliowamention bali pia ni ajenda za NWO na nyuma yake yuko devil himself.
Nimekupata vizuri mkuu, Binafsi hawa jamaa sijawahi kuwaamini kama wanayofanya ni hakiri zao pekee au ni Devils control..
 
sasa kilometa 400 si hapo juu tu mkuu.....we unaona mbali?!..
unazungumzia nini hapa kwani, hiyo international space station au?....mimi ninachokisemea ni sisi wanadamu hatukuandikiwa kuishi sayari nyingine zaidi ya duniani huko tutaishia kutuma vifaa kutafiti tu wala hatuwezi kufanikiwa.....
Mwanadamu ameshafika kwenye mwezi. Ni suala la wakati tu, wanasayansi wataanzisha makazi huko. Tafuta habari za Neil Armstrong ujielimishe.
 
Wasaalam

View attachment 1748080



Mwanasayansi makini , mwanzo sikujutia kukusoma wala kukufatilia,nikakufanya namba mbili baadala ya nguli mwingine kinara aliyeruzukiwa vipawa tele MuItaliano Leornado Mwana wa di ser Piero

Nikaamua kukupokea Ubongoni nikakufanya mwanasayansi Bora wa muda wangu nliyewahi kukushuhdia ,ukairudhuku dunia akili na ufahamu wa ubongo wako nayo ikakupatia utajiri, ukawapiku kina Carlos , Billget na Mark Zuckerberg kila ulipojiskia kutoa project Jeff mwenyewe bado anakutazama kwa jicho la uhaini


Ukaishangaza Dunia kila upendavyo mikakati ya Neuralink ,Space X na Tesla Company vingetosha kwa kila ambaye haamini sababu za wewe kuwa namba moja ,kuamini kuwa unaitendea kazi vilivyo Tasnia ya sayansi na teknolojia.


Serikali ikakuamini ,NASA nayo ikakupa amana,
Una sifa tele Ewe mzaliwa wa Afrika

Nimepata kusikia ,kusoma na kujionea mengi kukuhusu wewe Na project zako, NEW WORLD ORDER na makando kando tele...sikuzipa nafasi ingawa nazielewa sana ,na mikakati yake tunaiona


Nikaruhusu ubongo wangu ukuchukue na kukuamini katika matokeo Chanya pasi na kuwa na shaka nawe
Ule upande hasi nikauweka kando kwanza .


Mars Civilaization ikaniaminisha kile ulichowahi kusema siku moja kati ya Vingi kuhusu project yako hiyo

" Dunia imechafuliwa sana, vipi kama itatokea maafa na madhara (mafuriko,vimondo na mengine) yaliyowahi kutokea kabla, na Ilhali tuna teknolojia inayoweza kutufikisha sehemu nyingine Endapo Dunia yetu itakutana na Maafa"


Binafsi mara nyingi huwa naafikiana nawewe hivyo hata sababu hiyo sikupinga na ina ukweli mwingi sana, Mkuu.


Lakini kidogo nikasita baada ya kuiona picha , Picha Hiyo mwishoni kabisa kwenye huu uzi hapo chini ikanikumbusha mengi ina ujumbe Mfupi kwenye macho lakini wenye maudhui ,
mapana sana kwenye ubongo na Moyo wa mwanadamu.


Ikanikumbusha kule Sudan, Somalia, Syria, Gaza, Myanmar, na nchi nyingi zenye maafa na Dhiki tele
Nikawaza Dunia pengine inahitaji msaada wa kuboreshwa zaidi kuliko Mars


Lakini nikakumbuka wewe si tu mwanasayansi , bali mfanyabiashara nguli na mchapakazi,Tajiri namba mbili Dunia


Ni lazima ungefanya chochote kwa Ajili ya Faida yako binafsi pia na kipato chako, wale watoto Wa karne zijazo wapate kukusoma kwenye vitabu , mitandao ya kijamii na mengineyo mfano wa hayo.


Kuzisaidia nchi zenye maafa ya Njaa kutakurudhuku nini tena??? wewe ilhali hamna faida yoyote , utakayopata Lakini Dunia inahitaji sanaa vingi kuliko Hiyo Mars.


Kibaya na cha Ovyo Zaidi hamna utakacho bahatika kuona katika Jumbe hii, huenda pia wakutana na Jumbe fupi kuhusu hili, au comments fupi kwenye Akaunti zako za mitandao ya kijamii au huenda wewe mwenyewe una lijua hilo lakini, utafanyaje Unapangiwa au laah unaangalia manufaa

Pongezi sana nguli Elon Musk

Hii picha imeniwazisha mengi sana

WHO CARES???

View attachment 1748073










daVinci XV

elon musk baada ya kupewa taarifa kuhusu ujumbe wako
giphy.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu ameshafika kwenye mwezi. Ni suala la wakati tu, wanasayansi wataanzisha makazi huko. Tafuta habari za Neil Armstrong ujielimishe.
yaani mwanadamu aende mwezini mwaka 1969 kisha asirudi tena wakati technology iko kwenye peak miaka 52 baadae....angalia mambo kwa jicho la tatu mkuu..
 
Mwanasayansi gani au elon musk anacheza na akili za watu izo project ni nadharia useme eti miaka zitazokuwa zimekamilika ni mingi mbele huyu jamaa janja janja sana hana mpya

Kama magari ya umeme tayar yapo baadhi ya nchi wanaproject iyo ndo maana utajiri wake mara unapanda mara unashuka kama bitcoin vile
Starlink, space x mbona inafanya vizuri kupeleka satelites na wana anga nje.
Magari ya umeme siyo hoja, hoja ni je yanaweza kucover distance kiasi gani per single charge ndilo jambo ambalo lilikuwa linawasumbua. Pia Tesla kawekeza sana katika technology ya magari ya kujiendesha.
Na sasa hivi kila kitu kinachotumika kutengeneza hayo magari anakizalisha mwenyewe siyo kama wengine wana outsource. Japokuwa li cyber truck halijanivutia hata kidogo.
Neuralink now inaweza andika essay au blogpost ukahisi ni binadamu kaandika. Unafanya kuipa kicha cha habari tu.
Jamaa kafanya mengi katika muda wake aisee. Mimi namwona ni visionary na mjasiriamali ka steve jobs na siyo mwanasayansi kihivyo.
 
yaani mwanadamu aende mwezini mwaka 1969 kisha asirudi tena wakati technology iko kwenye peak miaka 52 baadae....angalia mambo kwa jicho la tatu mkuu..
Binadamu anarudi mwezini 2024 bila shaka yeyeto NASA Atermis.
The Artemis program is a U.S. government-funded international human spaceflight program that has the goal of landing the first woman and the next man on the Moon, specifically at the lunar south pole region, by 2024.
 
yaani mwanadamu aende mwezini mwaka 1969 kisha asirudi tena wakati technology iko kwenye peak miaka 52 baadae....angalia mambo kwa jicho la tatu mkuu..
kwa kweli na mm hili jambo huwa linanifikirisha sana.
Naona hapa tulipigwa kamba. imagine computer ya mwaka 1969 na computer ya 2021, si ndio wangekuwa wamefanya mwezini beach yani wanaenda kuogela na kisha kurudi Earth kulala.
Nawaza tuu lakini
 
sasa kilometa 400 si hapo juu tu mkuu.....we unaona mbali?!..
unazungumzia nini hapa kwani, hiyo international space station au?....mimi ninachokisemea ni sisi wanadamu hatukuandikiwa kuishi sayari nyingine zaidi ya duniani huko tutaishia kutuma vifaa kutafiti tu wala hatuwezi kufanikiwa.....
Ahaaa kumbe unakijua hicho kituo kuwa kipo ingawa hujui wanapanga nini, lakini nikufahamishe tu kuwa hivi tunavyoandika kuna "Rover" ya marekani kwenye Sayari ya Mars iliyotua mwanzoni mwa mwaka huu inatuma taarifa kila siku hapa Duniani ikiwa ni hatua za mwanzo kabla ya kutuma binadamu. Kwa taarifa yako hata muundo wa Kota za makazi ya binadamu kwenye Sayari hiyo viko tayari.
 
Binadamu anarudi mwezini 2024 bila shaka yeyeto NASA Atermis.
The Artemis program is a U.S. government-funded international human spaceflight program that has the goal of landing the first woman and the next man on the Moon, specifically at the lunar south pole region, by 2024.
lets wait and see..
 
kwa kweli na mm hili jambo huwa linanifikirisha sana.
Naona hapa tulipigwa kamba. imagine computer ya mwaka 1969 na computer ya 2021, si ndio wangekuwa wamefanya mwezini beach yani wanaenda kuogela na kisha kurudi Earth kulala.
Nawaza tuu lakini
hao jamaa wazushi tuu....ni kitu kigumu..
 
Scientific fact, ni kwamba we have been to the moon. Hizo nyingine ni conspiracy theories of which I'm not a fan!
okay mkuu let's wait and see.....ukweli utajulikana muda ukifika....am not trying to theorize conspiracies anyway..
 
Ahaaa kumbe unakijua hicho kituo kuwa kipo ingawa hujui wanapanga nini, lakini nikufahamishe tu kuwa hivi tunavyoandika kuna "Rover" ya marekani kwenye Sayari ya Mars iliyotua mwanzoni mwa mwaka huu inatuma taarifa kila siku hapa Duniani ikiwa ni hatua za mwanzo kabla ya kutuma binadamu. Kwa taarifa yako hata muundo wa Kota za makazi ya binadamu kwenye Sayari hiyo viko tayari.
mhhh haya asante kwa taarifa, ngoja tuone mwisho wake mkuu..
 
Back
Top Bottom