perseverance iko mars right now.acha ndoto za mchana, mwanadamu ameandikiwa kuishi duniani umri ukiisha atarudi kwenye tumbo la ardhi utalala hapo miaka mingi mpaka siku ya kufufuliwa.....habari za kuishi mwezini na sayari ya mars ni kuota tu mkuu....kama huamini nenda mars tukuone..
Myths.Enzi zile za Babylon walijenga ghorofa wakidhamiria kuiona mbingu,
Mungu hakupendezewa aliwaadhibu ,Sasa tunazidisha upotevu tena.
mkuu serikali ni jukumu lake na ni wajibuwake kununua dawa sababu wananchi wanalipa kodi na iliwachagua kama viongozi wao.Kuna watu wanakufa kwa kukosa dawa huko vijijini, ila serikali ilienda kununua ndege na kujenga mabwawa ya umeme.
Ukielewa logic ya hii scenario, hata Elon Musk utamuelewa!
WHO the hell is Devil?Nimekupata vizuri mkuu, Binafsi hawa jamaa sijawahi kuwaamini kama wanayofanya ni hakiri zao pekee au ni Devils control..
Wewe umepima kwa nini mpaka ukagundua ni 500 years journey?wala hawawezi kufanikiwa distance baina ya ardhi na wingu wa dunia ni 500 years journey nani anaweza kufika na kwa kifaa gani..
aliyetueleza kuwa sisi tumeumbwa kutokana na udongo pia ametueleza ukubwa na umbali wa mbingu..Wewe umepima kwa nini mpaka ukagundua ni 500 years journey?
🤣🤣🤣🤣Mambo yake muachieni mwenyewe...
Aiseee
okeyymkuu serikali ni jukumu lake na ni wajibuwake kununua dawa sababu wananchi wanalipa kodi na iliwachagua kama viongozi wao.
elon musk ni mtu binafsi ambaye amehangaika mwenyewe kutafuta pesa zake kwa biashara zake na wala hana mahusiano yoyote na kusaidia watu wengine.
HUU mfano wako haumake anysense.
masikini siku zote wanadhani tajiri ana wajibu wa kuwasaidia kitu ambacho sio kweli.
AiseeeMyths.
okeyyUnaonaje ungebadili title?
BTW, its wise kutazama nje ya upeo wa mboni zetu.. Imagining life beyond 1000 years and starting working to deliver your imaginations!!
This is what he chose.
Akina Bilgate wapo wanalifanyia kazi hilo la makapuku tunaoishi duniani kwa wakati huu.
🤣🤣🤣🤣