Sio mbinafsi tu bali ni mbaguzi wa rangi mzuri tu,Huyu bwana wazazi wake ni makuburu wa Africa Kusini kwa maana ya kwamba ni wahamiaji kutoka Ulaya, yeye sasa hivi ni mhamiaji wa US kutoka Africa Kusini, alirithi pesa kutoka mgodi wa rubi wa baba yake huko Africa Kusini lakini kucha kutwa kuwasema, kuwabeza na kwananga wahamiaji wanaoingia West.
View attachment 3079262
Tajiri hasemwiHuyu bwana wazazi wake ni makuburu wa Africa Kusini kwa maana ya kwamba ni wahamiaji kutoka Ulaya, yeye sasa hivi ni mhamiaji wa US kutoka Africa Kusini, alirithi pesa kutoka mgodi wa rubi wa baba yake huko Africa Kusini lakini kucha kutwa kuwasema, kuwabeza na kwananga wahamiaji wanaoingia West.
View attachment 3079262
Dunia Ina Siri nyingi sana:qu-ma:makealirithi pesa kutoka mgodi wa rubi wa baba yake huko Africa Kusini
Kuwaondosha waomba hifadhiem translate deploy asylum seekers
Sikua najua km Jamaa ana utajiri wa kurithi Dunia Ina Siri kinomaTajiri hasemwi
Utajiri wa kupewa mezani ndio ulivyo hivyo unalala tu asubuhi unasaini makaratasi ushakua tajiri mzuri wa kurithiSio mbinafsi tu bali ni mbaguzi wa rangi mzuri tu,
Hizo page anazoziquote hebu ingia uone zina promote nini kama sio white supremacist.
Tususie bidhaa zake au sio.....Sio mbinafsi tu bali ni mbaguzi wa rangi mzuri tu,
Hizo page anazoziquote hebu ingia uone zina promote nini kama sio white supremacist.
mwenyewe hakubali hata siku moja kuwa kapelekwa marekani, kusomeshwa na kukuzwa na huo mgodi, ila baba yake ni mropokaji sana ndio kabwatuka, kuna interview alifanya miaka 10 iliopita ila musk amefanya mpango imefutwa unaipata archive.org hapaUtajiri wa kupewa mezani ndio ulivyo hivyo unalala tu asubuhi unasaini makaratasi ushakua tajiri mzuri wa kurithi
Hio ni divide and rule, we ingia hio page aliyo quote musk, leo itamsema Muisilamu utasema mfia dini, kesho itamsema Mweusi utasema Wa Africa wana vurugu, Kesho kutwa itamsema mahindi utasema wale wachafu etc. Ila lengo lao moja white supremacist, sisi wote maf*la tu wao ndio wana haki ya kutawala dunia.Tatizo, mkija huku ulaya mnajikuta wafia dini
Dunia Ina Siri kinomamwenyewe hakubali hata siku moja kuwa kapelekwa marekani, kusomeshwa na kukuzwa na huo mgodi, ila baba yake ni mropokaji sana ndio kabwatuka, kuna interview alifanya miaka 10 iliopita ila musk amefanya mpango imefutwa unaipata archive.org hapa
Elon Musk Tells Me His Secret Of Success (Hint: It Ain't About The Money)
Elon Musk’s estimated $6.7 billion net worth ranked him 61st on the most recent Forbes 400 list of wealthiest Americans (September 2013). But when you chat with him, it becomes clear he is not much interested in discussing money. His main driver is what he does. “People should pursue what [...]web.archive.org
musk hataki watu wajue sana sababu ni illegal mine, mgodi ulikua zambia na waliiba tu hayo madini haikua official
interview ya baba
Elon Musk's Dad Claimed To Own An Illegal Emerald Mine And Drive A Gold Convertible Rolls Royce But Lost It All — He Denies This And Says 'The Fake Emerald Mine Thing Is So Annoying (Sigh)'
Errol Musk, father of Elon Musk, has long been a subject of interest because of rumors regarding his involvement in an emerald mine. The latest Elon Musk biography delved into the origins of these claims and reveals both the complex professional journey of Errol and Elon's perspective on the...finance.yahoo.com