Elon Musk mbinafsi sana

Elon Musk mbinafsi sana

Kunq jamaa mmoja Mtanzania mwenye uraia wa Uingerwza anakaa Uingereza. Kipindi cha BREXIT alikuwa anashabikia sana BREXIT, nikamuuliza kwa nini anashabikia sana Uingereza ijitoe EU?

Akasema yeye kapigania sana kupata uraia Uingereza, halafu kaona raia wa Eastern European countries kama Poland wanakuja kuchujua kazi kirahisi Uingereza (kwa sababu Poland ni EU member). Akataka UK ijitoe EU kwenye BREXIT ili kazi za UK zisiwe na competition sana kwa watu wa EU.

Maisha ni mashindano.
 
akili hamna kazi kuwasema wenzenu wabinafs sijui wabaguz mnajisahau kama na nyinyi mibaguz ya kutisha unakuta una ndugu yako kijijin anaitaji hela au hana ada na wewe hela unayo unaona bora ukalewe au uhonge ndugu yako unamwambia sina vp huo sio ubinafsi kuna mingine ikitembelewa na ndugu kitendo cha ndugu kuja hom kwake inaanza kuwa michoyo inajinunisha mamamake toka hapo ooh elun mbinafs mamamamee
 
Angebaki afrika pamoja na kurithi utajiri wa migodi ya baba yake asinge kuwa na mafanijio ambayo anayo Kwa sasa
 
Kaburu ni mbaguzi sana huyo Tajiri atakua ajaonyesha rangi yake kamili ya ubaguzi wa rangi.
 
Back
Top Bottom