Jamaa mbona kastruggle kivyake?Utajiri wa kupewa mezani ndio ulivyo hivyo unalala tu asubuhi unasaini makaratasi ushakua tajiri mzuri wa kurithi
Sio mbinafsi tu bali ni mbaguzi wa rangi mzuri tu,
Hizo page anazoziquote hebu ingia uone zina promote nini kama sio white supremacist.
Alianza kuuza juice za ukwaju kwenye kideli?Jamaa mbona kastruggle kivyake?