2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
R150000 sawa na 18535795.32TshHivi haya ndio yale modern Robots yenye hisia kabisa?
R150,000 kwa hela ya TZ ni sawa na bei gani?
Ngoja wadada wamkute huyo robot amekaba nafasi yao, lazima wata mzushia kwamba anangoma...🤣
Yeah pia anacheza na fursaNadhani issue ya mirathi na udangaji vimemuogopesha tajiri kaamua kujiundia..
Robot kama robotRobot
Balaa tupuRobot kama robot
HahahahaKufanya ngono na robot kutahitaji password su fingerprints
Wabongo kwenye vitu kama hivi wanakuwa na akili za kujiongeza.
Wanaweza kuliiba halafu wakali flash kuondoa password zako
Hahahaaaaaaaaaaaa low betri hahaaa mkuu umenichekesha sana sijui umewaza niniNamsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
Robot wa kichina anaweza ang'ate dushe kabisa na kuling'ofoaNamsubiria mchina kwenye copy najua wakichina atafika kwenye mia6 ,manake kwanza ncheke maana bot wakichina anaweza kukata moto wakati unapiga mambomambo Mara low betri please charge
150,000x150Hivi haya ndio yale modern Robots yenye hisia kabisa?
R150,000 kwa hela ya TZ ni sawa na bei gani?