Elon Musk na Julius Malema ndani ya vita kali ya maneno. (Huyu Elon toka apewe rungu anaenda kuchanganyikiwa)

Elon Musk na Julius Malema ndani ya vita kali ya maneno. (Huyu Elon toka apewe rungu anaenda kuchanganyikiwa)

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Vita vya maneno vimeibuka katika mtandao wa X kati ya tajiri mbwatukaji Elon Musk na mwanasiasa mbwatukaji toka Afrika Kusini Julius Malema kisa kauli zilizo tafsiri kuwa za kibaguzi toka kwa mwanasiasa huyu kwenda kwa jamii ya wazungu wa Afrika Kusini.

Tajiri Elon hapa kachafukwa anataka Malema awekewe vikwazo na kuitwa muhalifu wa kimataifa.

View: https://x.com/elonmusk/status/1888589439334584813?t=wHocRLFjKscoyu_td3wIwg&s=19

Naye Malema akamjibu hapa chini ya Post yake na kumuita "mwehu" kazi ipo

View: https://x.com/Julius_S_Malema/status/1888598694175412246?t=j9g0AzKZvih41s7f6VLUcQ&s=19

Hapa tajiri mbwatukaji Elon anazidi kukazidi katika accounts mbalimbali kweli kachafukwa" Elon kimwili yupo US ila kiakili bado yupo kwa Madiba

View: https://x.com/elonmusk/status/1888592034686005738?t=KV_7Qc5sEMmzAvlldGWcbg&s=19
 
Vita vya maneno vimeibuka katika mtandao wa X kati ya tajiri mbwatukaji Elon Musk na mwanasiasa mbwatukaji toka Afrika Kusini Julius Malema kisa kauli zilizo tafsiri kuwa za kibaguzi toka kwa mwanasiasa huyu kwenda kwa jamii ya wazungu wa Afrika Kusini.

Tajiri Elon hapa kachafukwa anataka Malema awekewe vikwazo na kuitwa muhalifu wa kimataifa.

View: https://x.com/elonmusk/status/1888589439334584813?t=wHocRLFjKscoyu_td3wIwg&s=19

Naye Malema akamjibu hapa chini ya Post yake na kumuita "mwehu" kazi ipo

View: https://x.com/Julius_S_Malema/status/1888598694175412246?t=j9g0AzKZvih41s7f6VLUcQ&s=19

Hapa tajiri mbwatukaji Elon anazidi kukazidi katika accounts mbalimbali kweli kachafukwa" Elon kimwili yupo US ila kiakili bado yupo kwa Madiba

View: https://x.com/elonmusk/status/1888592034686005738?t=KV_7Qc5sEMmzAvlldGWcbg&s=19

Elon Musk atamuweza wapi Malema kwa mdomo kama tulivyo waafrika sote.
Kinachofurahisha enzi hizi za teknolojia vidonge unapewa na mtu yeyote na unavipata.
Nafikiria kuingia kati nimsaidie Malema nikimuona anapwaya.Sauti yangu itamfikia Musk huko huko kwenye kasri.
 
Elon Musk ni tajiri mpenda kik ,dunia ilikuwa imetuliw enzi za Billy gates ...Jamaa anapiga miradi yake kimya ila Elon anapenda sana kuvamia kila sekta; kaacha kufufua watu kahamia kwenye starlink ,kweny dogecoin alikomba pesa akatemana na project🤣🤣
 
Safi sana Malema....
Kamatia hapo hapo, mpaka tumuone huyu kaburu anatema nyongo iliyojificha ili dunia nzima wamjue.....
 
Back
Top Bottom