Elon Musk ni kichomi

Makamu wao wa Rais kasema arudishwe na Trump kaunga mkono arudishwe!
 
Musk kaweka Kura ya maoni kuona kama "Big Balls" apewe second chance, 98% ya Kura zaidi ya milioni 3 wamesema asamehewe,

Kupitia mafaili ya malipo ya Pentagon lazima Big Ball awepo maana uozo wa USAID ulikuwa cha mtoto!

Marekani hakupoi jamani!

Your browser is not able to display this video.
 
Wewe.ni.muongo Sana🤣🤣🤣🤣
 
Marekani inaendeshwa kihuni hivi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…