Elon Musk ni mtu na nusu

Cha kushangaza anamponda baba yake kuwa na wake na watoto wengi.
Sio kweli

Jamaa hapatani na babake sababu baba yake alimpa amezaa na binti yake wa kambo.

Yaani mzee musk alioa mwanamke huyo mwanamke alimkuta na mtoto Wa kike Sasa mzee kala mama na kiranga wake tena kamzalisha kifaranga wake.

Yaani mzee kamzalisha dada wa kambo wa akina Elon just imagine watoto watakuelewaje.
 
Me nimewaambia Fursakibao jau ila hamnielewi
 
Zumarid? Ndiyo madini gani hayo
 
Hapo kwenye "bangi" kuna siri gani, asije akafanya watu wakawehuka bure!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…