Kwahiyo hizo biashara/kazi zake anafanya kwny nyumba za kupanga?Na nasikia jamaa hajajenga mpaka leo yani hamiliki nyumba kabisa
Alikuwa na nyumba 7, aliziuza mwanzo mwa Mwaka huu kwa $128M karibia bilioni 300 Kwa pesa za mafafu.Na nasikia jamaa hajajenga mpaka leo yani hamiliki nyumba kabisa
Jamani naomba msimuamini huyu Fursakibao [emoji115]mpaka atoe source ya habari yake, [emoji16][emoji16][emoji16]Alikuwa na nyumba 7, aliziuza mwanzo mwa Mwaka huu kwa $128M karibia bilioni 300 Kwa pesa za mafafu.
Sio kweliCha kushangaza anamponda baba yake kuwa na wake na watoto wengi.
Nyumba alikuwa nazo kauza zote.Na nasikia jamaa hajajenga mpaka leo yani hamiliki nyumba kabisa
Maana kuna Utafiti naufanya kuhusu bhang...Yeah
Me nimewaambia Fursakibao jau ila hamnielewiSio kweli
Jamaa hapatani na babake sababu baba yake alimpa amezaa na binti yake wa kambo.
Yaani mzee musk alioa mwanamke huyo mwanamke alimkuta na mtoto Wa kike Sasa mzee kala mama na kiranga wake tena kamzalisha kifaranga wake.
Yaani mzee kamzalisha dada wa kambo wa akina Elon just imagine watoto watakuelewaje.
huyu ndiyo mtu anayetimiza lile neno la enendeni mkaujaze ulimwenguElon hana mke,na ana watoto 10.
Zumarid? Ndiyo madini gani hayoBaba yake alikuwa ni kati ya matajiri huko South Africa; walikuwa wanamiliki mgodi was zumarid huko Zambia.
Wakati anaanza biashara iliyomfikisha hapo inasemekana baba yake alimoa mtaji was $28,000 kati ya mtaji $47,000 zilizokuwa zinagitajika kuanza
Huyo jamaa anaitwa Fursakibao nimewaambia kuweni makini naeZumarid? Ndiyo madini gani hayo
Hata usawa wenyewe wanaupinga siku hiziMwanaume haachiki, kaacha mara mbili regardless nani alianzisha mchakato wa kuachana... haya mengine ni ya kufosi tu mambo ya usawa...
Mo ni tajiri au kibaka!?Anamshinda tajiri yetu bwana Mo ina maana au?
Anayeoa ndiye anayeacha...Matajiri wengi wanakumbwa na janga hili la talaka, hii ni kutokana na tamaa wanazoingia wake zao juu ya utajiri wa wenzi wao.
Msigombane , tafuteni pesa mtakuja kunishukuru uzeeni.Hizi ndo athari za kucomment kabla ya kuswaki asubuh asubuhi!!
Unajua maana ya self made na kinyume cha self made!!??