Elon Musk ni mtu na nusu

Elon Musk ni mtu na nusu

Cha kushangaza anamponda baba yake kuwa na wake na watoto wengi.
Sio kweli

Jamaa hapatani na babake sababu baba yake alimpa amezaa na binti yake wa kambo.

Yaani mzee musk alioa mwanamke huyo mwanamke alimkuta na mtoto Wa kike Sasa mzee kala mama na kiranga wake tena kamzalisha kifaranga wake.

Yaani mzee kamzalisha dada wa kambo wa akina Elon just imagine watoto watakuelewaje.
 
Sio kweli

Jamaa hapatani na babake sababu baba yake alimpa amezaa na binti yake wa kambo.

Yaani mzee musk alioa mwanamke huyo mwanamke alimkuta na mtoto Wa kike Sasa mzee kala mama na kiranga wake tena kamzalisha kifaranga wake.

Yaani mzee kamzalisha dada wa kambo wa akina Elon just imagine watoto watakuelewaje.
Me nimewaambia Fursakibao jau ila hamnielewi
 
Baba yake alikuwa ni kati ya matajiri huko South Africa; walikuwa wanamiliki mgodi was zumarid huko Zambia.
Wakati anaanza biashara iliyomfikisha hapo inasemekana baba yake alimoa mtaji was $28,000 kati ya mtaji $47,000 zilizokuwa zinagitajika kuanza
Zumarid? Ndiyo madini gani hayo
 
Mwanaume haachiki, kaacha mara mbili regardless nani alianzisha mchakato wa kuachana... haya mengine ni ya kufosi tu mambo ya usawa...
Hata usawa wenyewe wanaupinga siku hizi
Screenshot_20221027-203452_Chrome.jpg
 
Hapo kwenye "bangi" kuna siri gani, asije akafanya watu wakawehuka bure!.
 
Back
Top Bottom