Elon Musk ofa kuinunua Twitter kwa asilimia 100 kwa dola bilioni 41. 39

Trump so far account yake iko Suspended twitter,Unakumbuka kuna kipindi alisemaga kuanzisha social Platform yake?,of course haiwezi kuwa ya trump,ila kwa namna Musk na maneno yake,trump soon anarudi twittani

App ya Trump “Truth” ipo kwa ajili ya watu wa US now kwasisi wa nanjilinji huwezi kutumia.
 
Uzuri wa matajiri wa dunia hawataki hata wanawake,

Ngoja tuone
... kupendapenda sex ni matumizi mabovu ya brain. Jamii ambayo at least 5% ya working time ya jamii inatumika kunyanduana ni absolute poverty.
 
Uzuri wa matajiri wa dunia hawataki hata wanawake,

Ngoja tuone
Ukisikia neno "playboy" basi ndio huyu jamaa, ana amepita na wanawake kama wanne public na ana watoto 8.
Hakuna mwanaume bila mwanamke hata uwe trillionaire.
 
Trump amesema hatarudi
Twitter hata wakimfunglia:

My take:
Huu ni mwendelezo wa Trump kudanganya watu ili kutimiza makusudio yake.

Truth Social app imekuwa iki perform vibaya tangu App Store walipo launch mwezi February.

Trump hawezi kukwepa kurudi Twitter. Anachofanya ni kutaka Elon anunue Truth Social platform pia
 
Imagine Elon Musk amlete Twitter former GOP Rep. Devin Nunes….We are doomed!
 
App ya Trump “Truth” ipo kwa ajili ya watu wa US now kwasisi wa nanjilinji huwezi kutumia.
Truth Social inapatikana App Store lakini imekuwa haifanyi vizuri.

Trump hawezi kukwepa kurudi Twitter kama anataka afanikiwe tena kwenye siasa! Ila anachofanya ni kutaka Elon anunue pia Truth app
 
Joe Biden bado amelala!
Kama nilivyosema hii kununua Twitter inawezekana ni plan ya kumrudisha Trump 2024, justification ya kuuza baadhi ya shares za Tesla ambayo ni very overpriced na hatimaye kutengeneza faida kupia Twitter!

Lakini Musk atakuwa tayari pia kununua TRUTH app?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…