Majaliwa ni BABA yako?Majaliwa nisaidieeee.
Kwa kuangalia picha, kwa umri wa mtoto na umri wa baba(kwa sura) wanaweza wakazaana?Mtu na baba yake
Elon Musk aache ubahili ahudunie mwanae
Washamba Hawa wezi kuelewa🤣😂, tunge endelea na code zetu.
Hapana, Mimi nawezea wapi hayo mambo Mkuu 😜Kumbe ndo zako ehh🤣, una flash mzigo🤣
Aisee SI wana semaga, shetani aki zeeka ana kuwa malaika😂🤣Hapana, Mimi nawezea wapi hayo mambo Mkuu 😜
Hiyo ni Kwa Wazee wa hovyo tu 🤗
Kuwa na imani na Wazee 😜Aisee SI wana semaga, shetani aki zeeka ana kuwa malaika😂🤣
Sure!.Kosa vyote ila sio Bando 😁😁😁😁😁😁
Yesu wa tongareni wali taka kumsulubu 😂🤣Ila wakenya....
Huko kina kijana anasema mboso ni baba ake, huyu nae wa musk
Huko kuna yesu wa tongareni.
Wakenya hapana asee
Akakimbilia polisi, kuwa maisha yake yapo hatarini 🤣🤣🤣Yesu wa tongareni wali taka kumsulubu 😂🤣
Wahuni sio watu🤣😂, ila kaachiwa Tena.Akakimbilia polisi, kuwa maisha yake yapo hatarini 🤣🤣🤣
Ila tangu anusurike kusulubiwa sijamuona tena hadharani 😁Wahuni sio watu🤣😂, ila kaachiwa Tena.
Wakili wake Ali sema mleteni huyo yesu halisi🤣😄
Yupo, sema kapunguza sifa🤣😄, huja muona yule Alie imba anyanduliwe na yesu😂Ila tangu anusurike kusulubiwa sijamuona tena hadharani 😁
Sijamuona ila audio niliisikia, hivi nae ni mkenya???!Yupo, sema kapunguza sifa🤣😄, huja muona yule Alie imba anyanduliwe na yesu😂
Ehh, Sema wame likamata🤣😂Sijamuona ila audio niliisikia, hivi nae ni mkenya???!