Elsisi wa Misri ampa za kichwa Blinken, imebidi arudi alikoanzia

Elsisi wa Misri ampa za kichwa Blinken, imebidi arudi alikoanzia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake.

Alipofika kwa Rais wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja, Rais huyo alimwambia wazi wazi akizingatia kile alichokisema Blinken alipokuwa na kiongozi wa Israel.

"Umesema wewe ni Myahudi. Mimi nami ni Mmisri niliyekulia jirani na Wayahudi. Haijawahi kutokea Wayahudi wakashambuliwa kwa ajili ya Uyahudi wao...."

Akaendelea kumueleza kuwa kinachofanyika sasa hivi ni adhabu ya jumla kwa jina la kujilinda. Akiwa amenywea Blinken naye akasema;

"Mimi nimekuja kama binadamu niliyesononeshwa na mashambulizi ya Hamas"

Kutokana na alichokiona kwenye ziara zake hizo ambapo mengine hayajawekwa wazi imebidi arudi Israel kabla kurudi kutoa jibu kwa Joe Biden!

1697431462229.png

Yahoo News
 
Ungeweka na hii pia kuwa egpty bado ni mshirika wa jews "The Egyptian leader also told Blinken the war could have implications for the entire region, though he maintained that Egypt was still an ally to the Jewish people.
 
Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake.
Alipofika kwa raisi wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja,raisi huyo alimwambia wazi wazi akizingatia kile alichokisema Blinken alipokuwa na kiongozi wa Israel .
"Umesema wewe ni myahudi.Mimi nami ni mmisri niliyekulia jirani na mayahudi.Haijawahi kutokea mayahudi wakashambuliwa kwa ajili ya uyahudi wao...."
Akaendelea kumueleza kuwa kinachofanyika sasa hivi ni adhabu ya jumla kwa jina la kujilinda.Akiwa amenywea Blinken naye akasema
"Mimi nimekuja kama binadamu niliyesononeshwa na mashambulizi ya Hamas"
Kutokana na alichokiona kwenye ziara zake hizo ambapo mengine hayajawekwa wazi imebidi arudi Israel kabla kurudi kutoa jibu kwa Joe Biden

Egyptian President Says Israel Is Enacting ‘Collective Punishment’ on Gaza

View attachment 2783451
Ustaadhi unajua nyuma ya pazia wanaongea nini wasipokua na waandishi wa habari.Afu pozi la rais mbona la kutia mashaka
NB: HAO MAYAHUDI WA ISRAEL NA MAARABU WA MSIRI TUMESHAWAZOEA WAMEPIGANA NA MPAKA LEO HII WANAHESHIMIANA
 
Ulitaka amyoshee vidole?

Unaouona ndiyo Uislam "being humble" wakati wote.
Humble? Ndiyo kusema Al Akbar na kurusha makombora kichwa kichwa,halaf wakishapigwa pigwa wanaanza kuruka ruka
 
Ungeweka na hii pia kuwa egpty bado ni mshirika wa jews "The Egyptian leader also told Blinken the war could have implications for the entire region, though he maintained that Egypt was still an ally to the Jewish people.
HII USTAADHI HAJAIONA KUA MAARABU WA MSIRI NI WASHIRIKA WA MAYAHUDÍ WA ISRAEL
 
Ungeweka na hii pia kuwa egpty bado ni mshirika wa jews "The Egyptian leader also told Blinken the war could have implications for the entire region, though he maintained that Egypt was still an ally to the Jewish people.
Huo ndio ubinadamu wanaokuwa nao waislamu.Hawafanyi uhasama na mtu kabla ya kuchokozwa.Na ukichokoza wanakuwa wakali kama nyuki.
 
HII USTAADHI HAJAIONA KUA MAARABU WA MSIRI NI WASHIRIKA WA MAYAHUDÍ WA ISRAEL
Ushirika mbele ya dhulma uko karibu kuvurugika.Israel na Marekani wameshindwa kula na kipofu.
Elsisi kweli si mwema hata kwa waislamu lakini hapa ameona Marekani na Israel wanataka kumvunjia heshima yake na hawajaona kiasi gani amekuwa pamoja nao muda wote huo dhidi ya watu wake.
Blinken hakujua kuwa aliyokuwa akisema mbele ya mayahudi wenzake yanasikika na kila mtu duniani.Halafu anatoka akamdanganye Elsisi na Mohammed Salman na mfalme Abdalla. Hakujua kuwa hawa ndio wenye funguo za usalama wa Israel.
 
Israel alipewa asilimia ngapi ya ardhi na azimio la UN mwaka 1947?
Tukumbushe.Isipokuwa inajulikana wamejichukulia ardhi karibu yote ya Palestina.Sasa wamezizungushio uzio baadhi ya familia wakisubiri kuzimalizia.
 
Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake.

Alipofika kwa raisi wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja,raisi huyo alimwambia wazi wazi akizingatia kile alichokisema Blinken alipokuwa na kiongozi wa Israel .

"Umesema wewe ni myahudi.Mimi nami ni mmisri niliyekulia jirani na mayahudi.Haijawahi kutokea mayahudi wakashambuliwa kwa ajili ya uyahudi wao...."

Akaendelea kumueleza kuwa kinachofanyika sasa hivi ni adhabu ya jumla kwa jina la kujilinda.Akiwa amenywea Blinken naye akasema

"Mimi nimekuja kama binadamu niliyesononeshwa na mashambulizi ya Hamas"

Kutokana na alichokiona kwenye ziara zake hizo ambapo mengine hayajawekwa wazi imebidi arudi Israel kabla kurudi kutoa jibu kwa Joe Biden

Egyptian President Says Israel Is Enacting ‘Collective Punishment’ on Gaza

View attachment 2783451
Shida hao hua wanafikiri wao tu ndio binadamu wengine ni wanyama. Wao tu wawe na ardhi na maisha mazuri pia waweze kustarehe hadi kuja kufi_ana mpakani gaza kwa wale wamewadhulumu haki zao zote. Pumbafu sana.
 
Shida hao hua wanafikiri wao tu ndio binadamu wengine ni wanyama. Wao tu wawe na ardhi na maisha mazuri pia waweze kustarehe hadi kuja kufirana mpakani gaza kwa wale wamewadhulumu haki zao zote. Pumbafu sana.
pale mpakani walikuwa wanafanya laana mbaya sana.
 
Back
Top Bottom