Elsisi wa Misri ampa za kichwa Blinken, imebidi arudi alikoanzia

Elsisi wa Misri ampa za kichwa Blinken, imebidi arudi alikoanzia

Mungu wa kweli ni mmoja tu ambae hajazaa wala kuzaliwa.

Unamkumbuka Yesu alimuomna nani amuokowe?
Kamanda wa HAMAS anakuhitaji uende Gaza ukaongeze nguvu ya kupambana na Wayahudi
 
Aliyenywea kwenye picha ni presda Al sisi mbona kashika adabu zote kakunja na mikono😕
Hapana kapigwa za uso ndio maana kama umemsikia leo Biden katika mahojiano lugha yote imebadilika, zile hamasa peleke meli sijui sisi na nyinyi tu leo anasema nawaonya Israel kuepuka uvamizi wa ardhini naomba Israel wajizuie, sio wa Palestine wote Hamas yaani anaongea utasema sio yule wa juzi. Vita vya siku hizi siokuwa na vifaru vingi kuna mbinu chafu kuliko vifaru na ndege.
 
Safari ya Antony Blinken mataifa ya kiarabu baada ya kuanza kuomboleza na Israel imegeuka dhidi ya matarajio yake.

Alipofika kwa Rais wa Misri ambaye huenda ndiye wanayemtegemea nambari moja, Rais huyo alimwambia wazi wazi akizingatia kile alichokisema Blinken alipokuwa na kiongozi wa Israel.

"Umesema wewe ni Myahudi. Mimi nami ni Mmisri niliyekulia jirani na Wayahudi. Haijawahi kutokea Wayahudi wakashambuliwa kwa ajili ya Uyahudi wao...."

Akaendelea kumueleza kuwa kinachofanyika sasa hivi ni adhabu ya jumla kwa jina la kujilinda. Akiwa amenywea Blinken naye akasema;

"Mimi nimekuja kama binadamu niliyesononeshwa na mashambulizi ya Hamas"

Kutokana na alichokiona kwenye ziara zake hizo ambapo mengine hayajawekwa wazi imebidi arudi Israel kabla kurudi kutoa jibu kwa Joe Biden!

Yahoo News
Amerudi Israel leo.

Kapiga ruti za kutosha ili apate uungwaji mkono.

Hoja ni ileile,
HAMAS wamekosea sana kuua raia, lakini JESHI lenye welwdi la IDF limekosea zaidi kuiga wanamgambo na kuua raia wasio na hatia.

Walitakiwa wakawaua Hamas au kuwakamata na kuwashataki kwa ugaidi
 
Ulitaka amyoshee vidole?

Unaouona ndiyo Uislam "being humble" wakati wote.
Wangekuwa "Humble" wasingekuwa wanaua watu na kujilipua hovyo eti wanampigania mungu wao moja anayeitwa allah.
 
Waarabu wangekua na akili na sio wanafiki mbona Israel angekua keshapigwa kitambo sana, tatizo hao ankali zetu upstairs kisoda ndio maana wanagongwa kila siku.
 
Back
Top Bottom