Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Naunga mkono Simba kumsajili mshambuliaji wa Burundi Elvis Kamsoba, amemzidi vitu vingi sana yule striker wa USMA Alger Leonel Ateba Mbida.
Kamsoba ana nguvu, namfananisha na marehemu Damian Kimti, mshambuliaji ambaye alileta changamoto kubwa enzi zile hasa kuhusu uraia wake hadi akafanikiwa kuchezea Simba sports club.
Kamsoba ndiye chaguo sahihi na mshambuliaji anayeweza kuisaidia Simba kwa sasa hasa kwenye nafasi ya Jeans Charkes Ahoua, Kamsoba mbali na nguvu pia ana kasi, mwepesi, ana chenga za maudhina alijua goli, mabeki wazembe wazembe kama Dickson Job na mwenzake Bacca ambao wanasifiwa wakati hawajakutana na washambuliaji wa kweli aina ya Kamsoba watasaga meno.
Nawaomba sana viongozi wa Simba, Kamsoba ni mali, Ngoma, Lakred na Freddy Michael watafute changamoto sehemu nyingine, Simba viungo wanatosha jamani.
Kamsoba ana nguvu, namfananisha na marehemu Damian Kimti, mshambuliaji ambaye alileta changamoto kubwa enzi zile hasa kuhusu uraia wake hadi akafanikiwa kuchezea Simba sports club.
Kamsoba ndiye chaguo sahihi na mshambuliaji anayeweza kuisaidia Simba kwa sasa hasa kwenye nafasi ya Jeans Charkes Ahoua, Kamsoba mbali na nguvu pia ana kasi, mwepesi, ana chenga za maudhina alijua goli, mabeki wazembe wazembe kama Dickson Job na mwenzake Bacca ambao wanasifiwa wakati hawajakutana na washambuliaji wa kweli aina ya Kamsoba watasaga meno.
Nawaomba sana viongozi wa Simba, Kamsoba ni mali, Ngoma, Lakred na Freddy Michael watafute changamoto sehemu nyingine, Simba viungo wanatosha jamani.