Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Wakuu naomba mnisaidie Email Application ambayo itanisaidia kuona mambo mbambali.
- Blue tick kama mtu husika ameifungua na kusoma Email yako niliyomtumia(Kama ilivyo kwa WhatsApp au Fb Messenger)
- Tick za kuonesha email imeenda lakini haijafunguliwa
- Na status zingine nyingi nzuri.
Actually napenda sana kutumia Email kwa mambo yangu mbalimbali.
Nisaidieni hiyo App yenye uwezo huo..
Asante
- Blue tick kama mtu husika ameifungua na kusoma Email yako niliyomtumia(Kama ilivyo kwa WhatsApp au Fb Messenger)
- Tick za kuonesha email imeenda lakini haijafunguliwa
- Na status zingine nyingi nzuri.
Actually napenda sana kutumia Email kwa mambo yangu mbalimbali.
Nisaidieni hiyo App yenye uwezo huo..
Asante