mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Za jioni natumai wote mmekula na kushiba!
Mwezenu sasa hapa nimepata ka feeling fulani hivi yaani natamani mtoto wa mtu anipende two yaani anione wivu mda wote yaani mda wote aniembie tu ilove you
Natamani nimpendeeeeee sna mda wote niwe nae karibu
🤣🤣🤣