Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Uchaguzi 2020 Embu tuambizane ukweli, CHADEMA inatumia kigezo gani kusema itashinda?

Kwani TANU kabla ya Uhuru ilifanya nini hadi watanzania wakaiamini kwenye kuipa uongozi???

Maendeleo yapi unayasema wakati Magufuli alikuta sukari inauzwa 1800 saivi tunanunua 2800-3000??
Ongezeko Holi no Tanzania pekee? Nchi nyingine hakuna ongezeko la bei za bidhaa?
 
Majibu yako ni rahisi saana:

1. Sio wanachama woote wa CCM watampigia CCM JIWE. Mie pamoja na dugu zangu sita (jumla) ni wanachama wa CCM lakini hatuwezi kupoteza kura yetu kumpigia kura mtu aliyesababisha Baba yangu asimamishwe kazi kwa kukataa kutii amri za mwenyekiti wa CCM Mkoa aliyetaka kuwatengenezea kesi ya uwongo vijana wawili ambao inasemekana ni wanachama wa Chadema. Vile vile wadogo zangu wawili wamebomolewa nyumba zao kimara..(sakata la barabara). Hapo sijaweweka wale wengine walioumizwa kama akina Membe n,k. Hivi unategemea mtu Kama January makamba,Nape au Mzee kinana, au JK watampigia kura JIWE? pevuka kidogo

2. Nyomi la mikutano ya CCM kafanye utafiti kama wanakuja kwa wito au ni kubebwa kwa kupewa buku tano.Ndugu zangu wengi wamekula saana hizi buku tano na kura wamesema ni siri yao
Sasa kwa nini msikengeuke kabisa kuliko kuwa popo? Unafiki ni dhambi kubwa sana.
 
Kwenye Uchaguzi wowote wapiga kura siyo wanachama wa Vyama vya Siasa bali ni Raia wa nchi husika ndo maana mpiga kura yeyote haruhusiwi kwenda Kituo cha Kupigia Kura na sare au utambulisho wowote wa Chama chake. Kama damu ingekuwa inaonekana, maCCM nguli yenye damu ya kijani yangezuiwa kupiga kura!
Kama ingekuwa hivyo, hata hiki chama kingine kingekumbana na kadhia hiyo maana kingekuwa na wengi wenye damu iliyochanganyika na bluu.
 
Kama Membe anasema atashinda iweje Lisu asishinde.
Ni mgombea yupi aliyesema hatashinda.

Magufuli kasema ,
Membe kasema
Lisu kasema
Lipumba kasema.
Rungwe wa Ubwabwa naye atashinda.
 
Back
Top Bottom