Majibu yako ni rahisi saana:
1. Sio wanachama woote wa CCM watampigia CCM JIWE. Mie pamoja na dugu zangu sita (jumla) ni wanachama wa CCM lakini hatuwezi kupoteza kura yetu kumpigia kura mtu aliyesababisha Baba yangu asimamishwe kazi kwa kukataa kutii amri za mwenyekiti wa CCM Mkoa aliyetaka kuwatengenezea kesi ya uwongo vijana wawili ambao inasemekana ni wanachama wa Chadema. Vile vile wadogo zangu wawili wamebomolewa nyumba zao kimara..(sakata la barabara). Hapo sijaweweka wale wengine walioumizwa kama akina Membe n,k. Hivi unategemea mtu Kama January makamba,Nape au Mzee kinana, au JK watampigia kura JIWE? pevuka kidogo
2. Nyomi la mikutano ya CCM kafanye utafiti kama wanakuja kwa wito au ni kubebwa kwa kupewa buku tano.Ndugu zangu wengi wamekula saana hizi buku tano na kura wamesema ni siri yao