Embu tuchat wawili wawili humu

Embu tuchat wawili wawili humu

Ubahili huo,acha.unashinda site kuwapatia tope wakati we ni boss.... Yaan boss umechoka kuliko vibarua...eti naenda kulala..khaa
Wee hawa ni wajinga bwana ukizubaa unakuwa mfukonwa cement wameuficha chini ya mchanga. Ni kukaa nao benet tuu
 
Back
Top Bottom