Embu tuchat wawili wawili humu

Muhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwaza
 
Muhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwaza
Sure yaan nisijewehuka,sema kuna kipindi nilipata line mpya ila kuna line ingine nikashawishika nayo nayo ikajua kunishawishi na kunituliza kichwa nikaiacha ile mpya nikawa naiskilizia hii ingine niliyoshawishika....aisee kumbe kijipu uchungu tu kumbe nayo inasikilizia(niliteseka kijinga,sema kuna akili ilisema tumia mbinu Fulani mchongo ukitiki ndo ujichomeke mazima usijerudi kulekule....ni kweli bana majibu hayakuchelewa...ni chap nikasanukia maana nilikuwa naelekea kujicock kweli) πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‰
 
Muhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwaza
SAA 12 ngoja niamke nijiandae kwenda kwa job mkuu....baadae MPE hi your forever friend (just respect her)
 
Ulikuwa umeshaanza kujisahau tena πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ inaonesha kifurushi kilikuwa na MB nyingi sana ukajiachia zako kumbe kifurushi cha offer tu...Lazma uwe mjanja kuchagua kifurushi sahihi, vya siku vizuri ila vinawahi kuisha bora vya mwezi japo MB chache
 
Kupenda,kupenda mkuu,haikuwa na Mb zozote sema mamanz sometimes tunapenda kiboya mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…