Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwazaSijui labda,si unajua nishawahi wekwa ndani kama mama watoto hivyo kupitia matumiz ya voda iviivo ....so kuachiwa majukumu na kupandishwa kwa bei za vifurushi siamini tena kuhusu kuwekwa ndani tena....sema ili nisijiumize sana ngoja nitafute line ya mchongo ambayo itanisaidia mawasiliano mpaka nitakapochoka kuitumia
Sure yaan nisijewehuka,sema kuna kipindi nilipata line mpya ila kuna line ingine nikashawishika nayo nayo ikajua kunishawishi na kunituliza kichwa nikaiacha ile mpya nikawa naiskilizia hii ingine niliyoshawishika....aisee kumbe kijipu uchungu tu kumbe nayo inasikilizia(niliteseka kijinga,sema kuna akili ilisema tumia mbinu Fulani mchongo ukitiki ndo ujichomeke mazima usijerudi kulekule....ni kweli bana majibu hayakuchelewa...ni chap nikasanukia maana nilikuwa naelekea kujicock kweli) π π πMuhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwaza
SAA 12 ngoja niamke nijiandae kwenda kwa job mkuu....baadae MPE hi your forever friend (just respect her)Muhimu sana hio maana maisha bila kifurushi inakuwa ngumu. Kuna muda unamiss kupiga simu inabidi ujiunge hata cha week tu uweze kujiliwaza
Sure yaan nisijewehuka,sema kuna kipindi nilipata line mpya ila kuna line ingine nikashawishika nayo nayo ikajua kunishawishi na kunituliza kichwa nikaiacha ile mpya nikawa naiskilizia hii ingine niliyoshawishika....aisee kumbe kijipu uchungu tu kumbe nayo inasikilizia(niliteseka kijinga,sema kuna akili ilisema tumia mbinu Fulani mchongo ukitiki ndo ujichomeke mazima usijerudi kulekule....ni kweli bana majibu hayakuchelewa...ni chap nikasanukia maana nilikuwa naelekea kujicock kweli) π π π
Kupenda,kupenda mkuu,haikuwa na Mb zozote sema mamanz sometimes tunapenda kiboya mnoUlikuwa umeshaanza kujisahau tena πππ inaonesha kifurushi kilikuwa na MB nyingi sana ukajiachia zako kumbe kifurushi cha offer tu...Lazma uwe mjanja kuchagua kifurushi sahihi, vya siku vizuri ila vinawahi kuisha bora vya mwezi japo MB chache
Hahahah mapens mabaya mapens mabayaKupenda,kupenda mkuu,haikuwa na Mb zozote sema mamanz sometimes tunapenda kiboya mno
ndo naingia kulalaUmeamka au bado hujainuka kwa bed
Haina noma nitamfikishia salamuSAA 12 ngoja niamke nijiandae kwenda kwa job mkuu....baadae MPE hi your forever friend (just respect her)
Hivi bado kuna kuchukuliana ma babe?Huo ujanja tu mtuchukulie babu zenu
Mwenzangu mi mwenyewe kanishinda na ukicheche wake[emoji1787]Kicheche huyu[emoji1787]
Ndo maana nilikuachia uhangaike naye
ndio mkuuOnhoo,we ni mlinzi mkuu
hahahahaNaamini hujaoa,maana nasikia waliwa kweli mkiwa hampo home