Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thanks, You are among the world's real people. Nakuelewa sana bila unafiki wa kujificha PM 🤣 🤣 🤣Sawa,mekuelewa.
Max yupo busy... lakin ugonjwa wako ninao😀Naomba huyo mod awe max....rangi nyeusi ndo ugonjwa wangu
Kucheka kunaongeza siku za kuishi😀wewe endelea tu kuziangalia... huku ukichngia kodi kupitia bundle 😀😂😂😂😂hii clips huwa zinanimalizia bundle balaa....nacheka sana
Tukae wtsupp call tuwachambue utulie na mmojaUbuyu ninao sasa shost,ni vile tu nipo na mabwana wengi afu home naishi mpweke...sad😔
mabwana wengi kwenye keyboard auUbuyu ninao sasa shost,ni vile tu nipo na mabwana wengi afu home naishi mpweke...sad😔
Naamaanisha rangi yangu ni darkU mean tiba unayo