Embu tuzungumzie kidogo hii album mpya ya Harmonize

Embu tuzungumzie kidogo hii album mpya ya Harmonize

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Ebana mimi binafsi sio shabiki wa msanii yeyote isipokua mziki mzuri.
Naamini kuwa Harmonize ni msanii mwenye kipaji kikubwa sana cha uimbaji ila sasa baada ya kusikiliza hii album yake mpya nimesikitika sana.

Inaonesha wazi kuwa fikra na malengo yake kupitia album hii ni mazuri lakini hakujipanga vya kutosha ni kama alikurupuka. Sisemi kwamba nyimbo za kwenye album zote ni mbaya lakini kwakweli nilikuwa natarajia album bora zaidi kulingana na uwezo wake.

Mimi binafsi nafikiri yeye anadhani kuwa kuimba kwa lugha ya kiingereza pekee inatosha lakini kwa mashairi yale sidhani kama album hii itampandisha level yeyote.
 
album ni nzuri sana......kuimba kiingereza sio shida as long as anatarget maana msanii mwenye ujaribu huo tz hayupo.....

Influencer ni full english na ni jam kubwa sana
 
Mada yako ingekuwa na maana kama ungeorodhesha mapungufu ya albam hiyo
 
album ni nzuri sana......kuimba kiingereza sio shida as long as anatarget maana msanii mwenye ujaribu huo tz hayupo.....

Influencer ni full english na ni jam kubwa sana
unasema msanii mwenye ujaribu huo tz hayupo, je umeshaisikiliza EP ya rayvany?
 
Kunawimbo wake aliimba "majumgu andika kwa Dela watu wanataka muziki" Cha kushangaza ye ndo kaenda kuandikia wenzake vjembe.
Kunawimbo kaimba "hawezi ringishia pesa Wala anavyomiliki" Ila kaenda kulingishia Dola moja.
 
album ni nzuri sana......kuimba kiingereza sio shida as long as anatarget maana msanii mwenye ujaribu huo tz hayupo.....

Influencer ni full english na ni jam kubwa sana
Kuna wasanii kibao wanaimba kiingereza Kwa hapa bongo Labda km hufuatilii rap. Kuna kina Brian Simba n mex Cortez so unavyosema hamna Msanii mwenye ujaribu WA kuimba kiingereza tz sio kweli
 
Kingine kilimuangusha kwenye album yake ni kuimba majungu na michambo
 
Back
Top Bottom