Embu Watanzania tuache Siasa kwenye mambo ya msingi

Embu Watanzania tuache Siasa kwenye mambo ya msingi

chinatown

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
1,232
Reaction score
1,105
Sijajua kwa nini Jeshi la Polisi limechelewa hivi kutoa taarifa kwenye tukio la kinyama lililofanywa na Watanzania wanaume wanne dhidi ya mdada mdogo wa Kitanzania.

Ukisikiliza ile video anaongea victim kuwa amefanyiwa vile kwa sababu ya kutembea na mume wa mtu.

Sasa kunashindikana vipi kupatikana kwa huyo boss? Kunashindikana vipi kupatikana kwa huyo mume wa boss?
Kuna shindikana vipi kupatikana hao watenda maovu? Jamani wakati mwingine ninyi mliopewa dhamana na wananchi embu fanyeni kazi.

Soma pia: Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa mande na wanaume watatu
 
Sijajua kwa nini jeshi la police limechelewa hivi kutoa taarifa kwenye tukio la kinyama lililofanywa na watanzania wanaume wanne dhidi ya mdada mdogo wa kitanzania
ukisikiliza ile video/clip anaongea victim kuwa amefanyiwa vile kwa sababu ya kutembea na mume wa boss wa hawa mashwetaini.
sasa kunashindikana vipi kupatikana kwa huyo boss?
kunashindikana vipi kupatikana kwa huyo mume wa boss?
kuna shindikana vipi kupatikana hao watenda maovu?
jamani wakati mwingine ninyi mliopewa dhamana na wananchi embu fanyeni kazi
Tumefikia pabaya sana
 
Nikikumbuka tukio la Mchangirwa kudaiwa kukatafuna kale kabinti kachuo na mwisho mauti ikakakuta na issue kufukiwa mazima sitashangaa na hii ikapotezewa.
Serikali ya CCM haina tofauti kubwa na utawala wa Ibilisi, uovu unalindwa na unafiki ndio tabia yake.
 
mambo hayaendi hivyo ndugu

huu ushabiki mtaaribu sasa
 
Ndiyo maana hawa umbwa wanakufaga vifo visivyoeleweka au kufa wakiwa hawajitambui na hohehahe kabisa.

Kulinda maovu au waovu wakati umepewa jukumu la kuwawajibisha huku haki za watu zikipokwa ni laana kama unajijua upo kwa ajili ya kusimamia haki za mtu na ndicho ulichosomea tenda kulingana na kisomo chako siyo unabagua huku watu wanaumizwa vibaya.
 
Kama huna mama au mtoto wa kike au mke hili tukio utàliona la kawaida Sana.
 
Kiki hizo,, maigizo yanaendelea yamepangwa hayo Nyuma ya pazia
 
Back
Top Bottom