Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

Story kamili ilikua. Kupitia ushosti wa imelda na jacky,imelda akafanikiwa kupata nafasi ya kuwainterview Mengi na jacky kuhusu maisha yao etc na pia wakaphotoshoot kabisa kwenye jumba lao,mapicha kama yote huku ime akiwaambia likitoka jarida atawajulisha pia picha hawezi kuwapa mpaka jarida litoke

Siku ya siku Jack akamuuliza imelda kama picha zimetoka akajibiwa ndio akaomba azione kwa makubaliano hatazipost mtandaoni mpaka jarida litoke,imelda akamkubalia kishingo upande(kwa kumuogopa bwana machache) maana ni kukiuka masharti waliyojiwekea(Bang)

Siku kadhaa kabla jarida halijatoka,jack akazipost picha mtandaoni,imelda kumpigia simu azitoe ataharibu biashara maana mzigo tayari ushachapishwa binti akagoma. Imelda akatishia kuwashtaki ee bana Boss akaingilia kati imelda akakosa nguvu na support



yes..maana tuliziona mitandaoni..wamekaa kwenye garden moja matata kbs...hahaha...kuharibiana biashara huku
 
Wanawake hatupendani. Tukipata pesa kidogo tu full kukomoana.


Kweli kbs..lakini sio wote..mie nadhan na exposure za maisha..kukulia kwenye umaskini ni kubaya mno mno..ile roho huwa haiishi..ya kutaka muwe wote level 1..
Kuna jiranj yangu mm sitakuja msahau wala kumsamehe ..nilikosa hela ya kikoba hyo jms nikamuomba anitolee50000/÷..akanuambia kwann usiuze tu gari😂😂😂..Ninawaza had leo hii jaman..lakini kutaa kukimbilia lift😂😂..sisi wanawake bwana majanga
 
You are so funny walahy...hahaha
Shost wee, mume kamwachia mimali yote ile anaanza kulia ili iweje? Wajane sie tunaotegemea waume zetu wauza mikaa Ndo watulishe familia nzima mpaka ukoo apo mume akifa utalia kama wanawake wa kinegeria[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Story kamili ilikua. Kupitia ushosti wa imelda na jacky,imelda akafanikiwa kupata nafasi ya kuwainterview Mengi na jacky kuhusu maisha yao etc na pia wakaphotoshoot kabisa kwenye jumba lao,mapicha kama yote huku ime akiwaambia likitoka jarida atawajulisha pia picha hawezi kuwapa mpaka jarida litoke

Siku ya siku Jack akamuuliza imelda kama picha zimetoka akajibiwa ndio akaomba azione kwa makubaliano hatazipost mtandaoni mpaka jarida litoke,imelda akamkubalia kishingo upande(kwa kumuogopa bwana machache) maana ni kukiuka masharti waliyojiwekea(Bang)

Siku kadhaa kabla jarida halijatoka,jack akazipost picha mtandaoni,imelda kumpigia simu azitoe ataharibu biashara maana mzigo tayari ushachapishwa binti akagoma. Imelda akatishia kuwashtaki ee bana Boss akaingilia kati imelda akakosa nguvu na support

Basi yaelekea Jacky kichwani ni bure sana....

Nilijuaga genius.....

Ulichosema hapo yaelekea ana akili kisoda sana,maana hayo maamuzi aliyofanya ni ya kiajabu sana!

Na pia theory yangu nazidi kui-prove zaidi na zaidi maana angekua na akili mingi kiivyo Amorette isinge sua sua kiivyo

Amorette ingetakiwa iwe household name kama ilivyo benkmark vile...

Itoshe kusema Madam Ritha kwenye akili ya biashara anamzunguka Jacky mara kama elfu kadhaa.....na yule mama Mercy anawazunguka wote mara milioni kadhaa....

Kwahiyo among the three women,Jack ndio dumbest of them all!

Any other theory to refute mine is welcomed!
 
Ila mm niwe mkweli..sitaki kuside kwa Mange au Jacky...jaman..nna mume ndyo...sijawah fiwa na mume sawa nakubali kbs...ila jaman Jacky hata kulia??au ndo udhungu huo jaman...tatizo misiba ya matajri bwana...wanaremba na milipstick na misunglass juu...misiba ya wanyaki bwana wee[emoji23][emoji23][emoji23]..au ndo wale wenye uchungu rohoni??aisee...Jacky ameniacha na maswali mno jamn

Meno rafiki watu tumetofautiana sana kwenye kuomboleza
Kuna watu hawalii kabisa ila lile tukio linamtesa maisha yote
Kuna watu anakaa kama bwege haelewi siku mbili presha imepanda na yeye anaanguka

Kuna wengine wanalia wanaropoka uchungu unaisha maisha yanaendelea

Mimi nipo hapo no. Moja
 
Basi yaelekea Jacky kichwani ni bure sana....

Nilijuaga genius.....

Ulichosema hapo yaelekea ana akili kisoda sana,maana hayo maamuzi aliyofanya ni ya kiajabu sana!

Na pia theory yangu nazidi kui-prove zaidi na zaidi maana angekua na akili mingi kiivyo Amorette isinge sua sua kiivyo

Amorette ingetakiwa iwe household name kama ilivyo benkmark vile...

Itoshe kusema Madam Ritha kwenye akili ya biashara anamzunguka Jacky mara kama elfu kadhaa.....na yule mama Mercy anawazunguka wote mara milioni kadhaa....

Kwahiyo among the three women,Jack ndio dumbest of them all!

Any other theory to refute mine is welcomed!



Umesema kweli nadhan ule umjini mjini umemfanya asiwaze mbali...Jaman Jacky si angeenda kwenye industry zenye pesa mfano akawekeza kwenye madini hukk..akawa anaexport midhahabu huko Dubei jaman..hela ipo nn shida??jaman wengine tunakosa tu connections..
 
Umesema kweli nadhan ule umjini mjini umemfanya asiwaze mbali...Jaman Jacky si angeenda kwenye industry zenye pesa mfano akawekeza kwenye madini hukk..akawa anaexport midhahabu huko Dubei jaman..hela ipo nn shida??jaman wengine tunakosa tu connections..

Hana akili hizo dada yangu!

Simply put!

Akienda humo,kesho asubuhi anarudi mikono mitupu!

tufanye experiment ndogo sana:

Sasa hivi machache keshavuta zake....

Sasa ile ile Amorette ndani ya miezi sita ijayo ni lazima ife au ipunguze operations!

Mark my words!

The bitch is just dumb...

Ila kwa kupiga picha tu za kujianika insta anaweza masikini,and I wonder why,hua anashindana na nani mle?
 
Wanawake ugonjwa wetu hauwezi pona.
Kweli kbs..lakini sio wote..mie nadhan na exposure za maisha..kukulia kwenye umaskini ni kubaya mno mno..ile roho huwa haiishi..ya kutaka muwe wote level 1..
Kuna jiranj yangu mm sitakuja msahau wala kumsamehe ..nilikosa hela ya kikoba hyo jms nikamuomba anitolee50000/÷..akanuambia kwann usiuze tu gari😂😂😂..Ninawaza had leo hii jaman..lakini kutaa kukimbilia lift😂😂..sisi wanawake bwana majanga
 
Hana akili hizo dada yangu!

Simply put!

Akienda humo,kesho asubuhi anarudi mikono mitupu!

tufanye experiment ndogo sana:

Sasa hivi machache keshavuta zake....

Sasa ile ile Amorette ndani ya miezi sita ijayo ni lazima ife au ipunguze operations!

Mark my words!

The bitch is just dumb...

Ila kwa kupiga picha tu za kujianika insta anaweza masikini,and I wonder why,hua anashindana na nani mle?


Hqhahaa ana kausoftness had kwenye ubongo ..jaman hiyo bahat ingekuwa yangu mm...narudia tena ..niolewa na tajiri aniache nifanye biashara uwiii.....nisingebase na mambo ya urembo na mausista duu tupa kuleee mm ningefanya wonders jaman
 
Back
Top Bottom