Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

juzi nlifungua uzi hapa CODED ila hakuna aloo vunja izo code

JACK & SHIMI sio watu wazuri and do not underestimate them(mtandao wao) hasa SHIMI in short they play smart

Mimi [emoji225]

Shimi Ndo nani binamu
 
juzi nlifungua uzi hapa CODED ila hakuna aloo vunja izo code

JACK & SHIMI sio watu wazuri and do not underestimate them(mtandao wao) hasa SHIMI in short they play smart

Mimi [emoji225]

Tufungulie hizo code basi binamu
 
Mie niwemkweli...labda kwasababu umri ushasonga...Jacy hawez kutoka kimaisha ..yaan namanisha kuwa na umiliki wa pesa zake mwenyew...amejifungia kwenye kibox cha UMJINI...shopping France...alafu unakuwa na marafk km Rio Paul..hb wale wanakisaidia nn jaman?alafu ile circle yao hivi kuna mfanyabiashara wa kueleweka pale? atleast huyu anayetengeneza beads sijui Nasrim
 
Duh aiseee na vile kazungukwa na mashosti classic,shopping dubai,france etc

Hope atatumia akili vizuri wanae wapate future ya kueleweka

Zile donations na foundation hope ataziendeleza vizuri kwa connectios za Mzee,maana mdhamini ndo huyo hatunaye

Shoga mbona ile crew ya jacky sijawaona wakiwa karibu nae kwenye msiba, Au ndo tukutane batani shida kaa nazo mwenyewe Au ndo na wenyewe wanaogopa camera, maana mimemuona faraja tu
 
Shoga mbona ile crew ya jacky sijawaona wakiwa karibu nae kwenye msiba, Au ndo tukutane batani shida kaa nazo mwenyewe Au ndo na wenyewe wanaogopa camera, maana mimemuona faraja tu
nilijua ni mimi tu ambae sikuwaona mashoga zzake
 
Mange kaharibu show nzima,asingeropoka yale mambo wangekua kimbele front balaa ,dada mtu asingepata hata nafasi ya kubeba pochi.
Niliona kideo wakiwa airport watazamaji kwa mbali kama raia wengine wa kawaida.
Shoga mbona ile crew ya jacky sijawaona wakiwa karibu nae kwenye msiba, Au ndo tukutane batani shida kaa nazo mwenyewe Au ndo na wenyewe wanaogopa camera, maana mimemuona faraja tu
 
Hii interview ya jacky ya juzi naweza kusema ilikua her debut interview Toka aanze Kuwa na mahusiano na mengi, yani nowadays walikua so open , so inlove, they didn't care at all about the public eyes , wanazengo wanauliza je kuna usalama?, jacky Ma nyimbo ya Celin dion I will always love you ilikua kama yote, mzee baba akatoa speech ya hatari kwa mke wake
Mi nazani baada ya mke wa kwanza wa Mengi kufa ,Jack alianza kujiona yupo huru sasa ,ndio maana akaanza kimfanya mzee wa watu kama kituko ,mbona kabla ya mke mkubwa hatukuona clip mzee mengi akisema
 
Back
Top Bottom