Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂ah wap!! kwa izo code zipo wazi tuu
Duh aiseee na vile kazungukwa na mashosti classic,shopping dubai,france etc
Hope atatumia akili vizuri wanae wapate future ya kueleweka
Zile donations na foundation hope ataziendeleza vizuri kwa connectios za Mzee,maana mdhamini ndo huyo hatunaye
hili halina ubishi...ndio maana hata picha zake nyingi zawekwa manjonjo mengi mnoIla jacky bila make up sijui kawaje, she is aged, naona Ma wrinkles kwa shingo mmh.
nilijua ni mimi tu ambae sikuwaona mashoga zzakeShoga mbona ile crew ya jacky sijawaona wakiwa karibu nae kwenye msiba, Au ndo tukutane batani shida kaa nazo mwenyewe Au ndo na wenyewe wanaogopa camera, maana mimemuona faraja tu
dada ake Jack and miss untouchableShimi Ndo nani binamu
Engagement ilikuwa baada ya watoto kuzaliwaHaikua engagement binamu ? , I stand corrected kama Sipo sahihi , Ila kipindi kile hata watoto walikua hawana binamu.
ama kweli 😀 🤣Ushoga wa mujini kazi kweli kweli , tukutane dubai na Singapore for shoppings, shida kaa nazo mwenyewe 🤣🤣
Shoga mbona ile crew ya jacky sijawaona wakiwa karibu nae kwenye msiba, Au ndo tukutane batani shida kaa nazo mwenyewe Au ndo na wenyewe wanaogopa camera, maana mimemuona faraja tu
Mkiendelea kumchamba na kumjadili, mwenzenu analilia kwny mansheni ya maana huku akaunti yake ikishindwa kusoma masifuri..
Wanawake badilikeni, majungu sio mtaji
Mi nazani baada ya mke wa kwanza wa Mengi kufa ,Jack alianza kujiona yupo huru sasa ,ndio maana akaanza kimfanya mzee wa watu kama kituko ,mbona kabla ya mke mkubwa hatukuona clip mzee mengi akisemaHii interview ya jacky ya juzi naweza kusema ilikua her debut interview Toka aanze Kuwa na mahusiano na mengi, yani nowadays walikua so open , so inlove, they didn't care at all about the public eyes , wanazengo wanauliza je kuna usalama?, jacky Ma nyimbo ya Celin dion I will always love you ilikua kama yote, mzee baba akatoa speech ya hatari kwa mke wake
yawezekanaMi nazani baada ya mke wa kwanza wa Mengi kufa ,Jack alianza kujiona yupo huru sasa ,ndio maana akaanza kimfanya mzee wa watu kama kituko ,mbona kabla ya mke mkubwa hatukuona clip mzee mengi akisema
Hqhahaa ana kausoftness had kwenye ubongo ..jaman hiyo bahat ingekuwa yangu mm...narudia tena ..niolewa na tajiri aniache nifanye biashara uwiii.....nisingebase na mambo ya urembo na mausista duu tupa kuleee mm ningefanya wonders jaman