Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

Madam Ritta nasikia nae yalimkuta akajikuta nje na BSS yake.
 
fact!
 
Madam Ritta nasikia nae yalimkuta akajikuta nje na BSS yake.

Of course....

Ila Madam ana akili fulani hivi ya biashara na kusimamia na kujitegemea at highest level,I don't think that's the case with Jacky!

Infact quiet the contrary!

Jacky's brains will be exposed now since machache kasepa...!

Anaweza kaukiwa hadi zile range zikageuka kua RAV4,haya maisha sio mchezo kabisa!

Let us see
 
Ni kama butwaa fulani hivi hata akilazimisha kulia hawez mpaka ajikumbushe matukio ya huzuni sana ndo analia, baada ya masiku kadhaa ule uchungu ndo utakuja atalia vya kutosha

Kila akipitia gumu alilokua akipata msaada wa mzee machozi yatamwagika vya kutosha.
 
juzi nlifungua uzi hapa CODED ila hakuna aloo vunja izo code

JACK & SHIMI sio watu wazuri and do not underestimate them(mtandao wao) hasa SHIMI in short they play smart

Mimi ๐Ÿ 
 
Sijui kama imetoka ila yule mwanaume kampotezea ramani dada wa watu


yule kaka namfahamu..dah...usemayo kweli..Em3lda alikua smart mno..ss hv angekuwa kati ya wadada wa mujini wanaomiliki mali kihalali kbs tofauti na wategemea k..mm alikua my role model kbs jaman...Yaan angekuqa milione kbs nw..dah..NDOA HIZI๐Ÿšถ
 
Duh aiseee na vile kazungukwa na mashosti classic,shopping dubai,france etc

Hope atatumia akili vizuri wanae wapate future ya kueleweka

Zile donations na foundation hope ataziendeleza vizuri kwa connectios za Mzee,maana mdhamini ndo huyo hatunaye
 
juzi nlifungua uzi hapa CODED ila hakuna aloo vunja izo code

JACK & SHIMI sio watu wazuri and do not underestimate them(mtandao wao) hasa SHIMI in short they play smart

Mimi ๐Ÿ 
sababu watu wameshindwa vunja hizo code watafunie tu basi
 
nilipata kusikia watoto wa mzee Ntuyabaliwe ndivyo walivyo...wanapenda maisha ghali ila wote orijojo kichwani!
 

Let's wait and see if she will be able to maintain that boss-lady title / status, now its fair to compare zari with jacky, they are both widowed to millionaires , though zari seems to maintain her status even after ivan departed , issue kwa bibie, na hvi shule kichwan Ndo hamna , now tutaona mengi Sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ